Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Habari zilizosambazwa kwenye "Kitabu uso" Facebook Kuwa wakiwa wanaenda au kutoka katika kisiwa cha Bongoyo boti yao ilipinduka na wao kumwagwa baharini ambapo waliokolewa lakini watano kati yao walipoteza fahamu ajali hiyo inadaiwa ilitokea karibu na Hotel ya Giraffe ambapo wamepiga kambi huko.... Mwenye habari zaidi atujuze... naona habari hii imekaliwa... Si wajua tena mambo ya Laki 1 Mlimani city...