sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kumbee!
Ndiyo hivyo shemeji langu
Kumbee!
me mkarenjii bt kwann wauliza hvo?
Mpendekeze unayehisi anastahili. matokeo yatatatangazwa.
Hahahahahahaha!!!!!!!!.....daah, nimecheka na bado naendelea kucheka lol..... klorokwini huna adabu kabisa khaaaa!....nikiugua mbavu nakufuata kwa matibabu.
Waweke Picha kwanza hao wanaojiona waremo aka ma miss then ndio tuchague nani mshindo maana avatar zisije zikatuingiza mjini.
thanx honey Saint IvugaCUTE kapita
mwali!mpendekeze unayehisi anastahili. Matokeo yatatatangazwa.
haya, umeona sasa, wasemaje?
mi mtoto wa kiislam bwana.Tobaa! Waallah Mwali usiposhinda nitafika hadi mahakama ya rufaa! Sasa n'sikilize Mwali: tupa kabisa huo mtandio tukate mzizi wa fitna. nakuhakikishia kabisa hutapata mpinzani! Si umeona mwenyewe ile kuonyesha sura tu kidogo kura zilivyo miminika? Please!
mi mtoto wa kiislam bwana.
na wala sina ham ya ku-compete
kura yangu ni kwa Ero na Cute!
mi mtoto wa kiislam bwana.
na wala sina ham ya ku-compete
kura yangu ni kwa Ero na Cute!
Mpendekeze unayehisi anastahili. matokeo yatatatangazwa.
Hivi Miss FJ maana yake nini?
mi nadhani ni mwanamke ambae ana uwezo wa kutuwakilisha sote kam JF members
Kwa vile JF hua hatutumii picha wala jina, the only thing wanawakilisha ni ideas zetu
na katika ideas ilionekana kua wanawake wawili hawa wana weza kutuwakilisha sote
sasa hayo ya kuweka picha si bora tukagombee miss U-Turn au blogs zingine za kijinga?