haya, umeona sasa, wasemaje?Tokeza full mziki na wewe, sasa kila siku umejitanda mikanga ndo nini? Utakosa zali hivi hivi mwanangu!
mwali u r sooo cute, umeutoa mtandio kasura kako supuuu!
Asante sana ila mimi kama mimi siamini katika competitionsMimi nimeanzisha uzi ili mpige kura sasa nyie mnaanza kuleta stori nyingine?
Haya basi mimi nampendekeza Mwali.
Mpendekeze unayehisi anastahili. matokeo yatatatangazwa.
Hivi Miss FJ maana yake nini?Huku ni kuuziana mbuzi kwenye magunia.
Bandika picha,watu waje uwanjani kupiga kura.
Hivi Miss FJ maana yake nini?
mi nadhani ni mwanamke ambae ana uwezo wa kutuwakilisha sote kam JF members
Kwa vile JF hua hatutumii picha wala jina, the only thing wanawakilisha ni ideas zetu
na katika ideas ilionekana kua wanawake wawili hawa wana weza kutuwakilisha sote
sasa hayo ya kuweka picha si bora tukagombee miss U-Turn au blogs zingine za kijinga?
Charminglady! hahahaaaaaaaaaa
...umenifilisi ...kila la kheri..naomba uwemo katika kinyang'anyiro cha ulimbwende. MwaliHivi Miss FJ maana yake nini?
mi nadhani ni mwanamke ambae ana uwezo wa kutuwakilisha sote kam JF members
Kwa vile JF hua hatutumii picha wala jina, the only thing wanawakilisha ni ideas zetu
na katika ideas ilionekana kua wanawake wawili hawa wana weza kutuwakilisha sote
sasa hayo ya kuweka picha si bora tukagombee miss U-Turn au blogs zingine za kijinga?