TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Wadada mnaogombea hiyo nafasi na mnaitaka kura yangu, basi mkiniandikia PM mnipe na dau lenu kabisa ili nijue nani anastahili kura yangu siyo mnaomba omba tu kupigiwa kura bure bure...
Kama na wewe mdau umepokea jumbe zenye kuitaka kura yako basi tambua hii ni fursa... Hivyo basi Kamata fursa kisha twenzetu.....
Mapendo.
TANMO
Kama na wewe mdau umepokea jumbe zenye kuitaka kura yako basi tambua hii ni fursa... Hivyo basi Kamata fursa kisha twenzetu.....
Mapendo.
TANMO