Mishahara ya Polisi na Magereza imepandishwa?

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Nimepata taarifa kuwa Rais JK amewapandishia mishahara Askari wa vyombo vya Ulinzi na Usalama hadi asilimia 40 kwa cheo cha SSP (Polisi na Magereza)! Kwa wenye akili timamu tunajiuliza kwa nini Wanajeshi wamepandishiwa mishahara kwa kiasi hicho wakati huu? Je, serikali ya JK imepata wapi hizo fedha za nyongeza hiyo kubwa ya mishahara wakati alituhutubia Watanzania kuwa Serikali haina uwezo wa kuwaongezea mishahara Wafanyakazi wake na kwa hiyo hata kura zao kwenye Uchaguzi wa mwaka huu hazitaki?
Je, ni kwanini upandihsaji huu umefanyika kwa siri kiasi kwamba hata Askari wenyewe wameshangaa kujikuta mishahara imeongezwa?

Taaarifa hizi nimezipata kutoka kwa Askari wa Magereza na Polisi, sina uhakika JWTZ na Wafanyakazi wengine wa Seriakali wameongezewa au la, wameongezewa Mlioajiriwa Sirikalini mtujuze.

Yawezekana, hofu imemkumba Muungwana kwa Mpinzania wake Mkuu DK Slaa kuitumia kauli ya kutotaka kura za Wafanyakazi kwenye harakati za kuingia Ikulu.

Hatua hii yaweza kuzua mtafaruku zaidi kwani Wafanyakazi watatambua kuw Sirikali inao uwezo wa kuwalipa vizuri ila tu Wakulu wanataka waendelee kutanua peke yao. Lakini pia nyongeza hiyo ni hatari kwa Uchumi wa nchi kwa hali za Wtanzania zimekuwa mbaya maradufu kutukana na kuzidi kudorora kwa uchumi na kuzidi kwa mfumuko wa bei kwa kiasi cha kutisha katika kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki.
 
sasa naona habari za yale magazeti ambaye mmiliki alienda kugombea BUCHOSA zimeanza.....!
 
Nimepata taarifa kuwa Rais JK amewapandishia mishahara Askari wa vyombo vya Ulinzi na Usalama hadi asilimia 40 kwa cheo cha SSP (Polisi na Magereza)! Kwa wenye akili timamu tunajiuliza kwa nini Wanajeshi wamepandishiwa mishahara kwa kiasi hicho wakati huu? Je, serikali ya JK imepata wapi hizo fedha za nyongeza hiyo kubwa ya mishahara wakati alituhutubia Watanzania kuwa Serikali haina uwezo wa kuwaongezea mishahara Wafanyakazi wake na kwa hiyo hata kura zao kwenye Uchaguzi wa mwaka huu hazitaki?
Je, ni kwanini upandihsaji huu umefanyika kwa siri kiasi kwamba hata Askari wenyewe wameshangaa kujikuta mishahara imeongezwa?

Taaarifa hizi nimezipata kutoka kwa Askari wa Magereza na Polisi, sina uhakika JWTZ na Wafanyakazi wengine wa Seriakali wameongezewa au la, wameongezewa Mlioajiriwa Sirikalini mtujuze.

Yawezekana, hofu imemkumba Muungwana kwa Mpinzania wake Mkuu DK Slaa kuitumia kauli ya kutotaka kura za Wafanyakazi kwenye harakati za kuingia Ikulu.

Hatua hii yaweza kuzua mtafaruku zaidi kwani Wafanyakazi watatambua kuw Sirikali inao uwezo wa kuwalipa vizuri ila tu Wakulu wanataka waendelee kutanua peke yao. Lakini pia nyongeza hiyo ni hatari kwa Uchumi wa nchi kwa hali za Wtanzania zimekuwa mbaya maradufu kutukana na kuzidi kudorora kwa uchumi na kuzidi kwa mfumuko wa bei kwa kiasi cha kutisha katika kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki.

Kama kweli,, hapo itakuwa maigizo makubwa.
 
wafanyakazi wote wameongezewa mkuu. tena ni asilimia hiyohiyo kwa wote. keshatimiza matakwa yenu. mpeni basi zile kura alizokataa. ilikuwa ni hasira tu wakuu. msameheni boss wenu!
 
wafanyakazi wote wameongezewa mkuu. tena ni asilimia hiyohiyo kwa wote. keshatimiza matakwa yenu. mpeni basi zile kura alizokataa. ilikuwa ni hasira tu wakuu. msameheni boss wenu!

Kama kweli wameongezwa MUNGU awape nini watumishi wa umma? Muungeni mkono MUUNGWANA kwa kasi zaidi...ari zaidi....na nguvu zaidi....! CCM YAPANDISHA MISHAHARA .....HONGERA CCM....!
 
wafanyakazi wote wameongezewa mkuu. tena ni asilimia hiyohiyo kwa wote. keshatimiza matakwa yenu. mpeni basi zile kura alizokataa. ilikuwa ni hasira tu wakuu. msameheni boss wenu!

Kama ni kweli na imetolewa wakati huu inafanania sana na Rushwa.
 
Nimepata taarifa kuwa Rais JK amewapandishia mishahara Askari wa vyombo vya Ulinzi na Usalama hadi asilimia 40 kwa cheo cha SSP (Polisi na Magereza)! Kwa wenye akili timamu tunajiuliza kwa nini Wanajeshi wamepandishiwa mishahara kwa kiasi hicho wakati huu? Je, serikali ya JK imepata wapi hizo fedha za nyongeza hiyo kubwa ya mishahara wakati alituhutubia Watanzania kuwa Serikali haina uwezo wa kuwaongezea mishahara Wafanyakazi wake na kwa hiyo hata kura zao kwenye Uchaguzi wa mwaka huu hazitaki?
Je, ni kwanini upandihsaji huu umefanyika kwa siri kiasi kwamba hata Askari wenyewe wameshangaa kujikuta mishahara imeongezwa?

Taaarifa hizi nimezipata kutoka kwa Askari wa Magereza na Polisi, sina uhakika JWTZ na Wafanyakazi wengine wa Seriakali wameongezewa au la, wameongezewa Mlioajiriwa Sirikalini mtujuze.

Yawezekana, hofu imemkumba Muungwana kwa Mpinzania wake Mkuu DK Slaa kuitumia kauli ya kutotaka kura za Wafanyakazi kwenye harakati za kuingia Ikulu.

Hatua hii yaweza kuzua mtafaruku zaidi kwani Wafanyakazi watatambua kuw Sirikali inao uwezo wa kuwalipa vizuri ila tu Wakulu wanataka waendelee kutanua peke yao. Lakini pia nyongeza hiyo ni hatari kwa Uchumi wa nchi kwa hali za Wtanzania zimekuwa mbaya maradufu kutukana na kuzidi kudorora kwa uchumi na kuzidi kwa mfumuko wa bei kwa kiasi cha kutisha katika kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki.

Mh kwanza mkuu wa nchi alisema hataki kura za wafanyakazi. Pili alisema kuwa akiongeza mshahara Tanzania itafilisika. Sijajua kama mshahara umeongezeka maana mpaka sasa but kama umepandishwa naweza nafurahia but huku nalia kwasababu mbili kuu, Kwanza kutapunguza mzigo wa hali ngumu ya maisha hasa hasa kwa mfanyakazi wa kipato cha chini (furaha yangu ndio hii) but la pili nasikitika kama tutaongeza mshahara kwani tutachangia kuongeza purchasing power ya watanzania (kilio changu kipo hapa). Sasa sijui huo mshahara umeongezeka wapi? Pia kuwa wanajeshi mshahara mkubwa peke yao ni kama wanawahonga ili wakatandike vizuri watanzania watakao kuwa wakarofi pindi kura zitakapoibiwa sasa sijui hili limekaaje.
 
Mwangalieni huyo asichapishe fedha au akakopa mno kwenye mabenki. Ataua uchumi. Au yuko tayari kuhatarisha sana uchumi kwa ajili ya kuhongea kura?

Wafanyakazi si wajinga. Watapokea hizo fedha lakini kura watampa Dr. Slaa. Hawatakubali hongo ya dakika za majeruhi.

Ila kama kweli JK ameamua kuongeza mishahara kwa asilimia 40 saa hizi, basi atakuwa amemuogopa Slaa kuliko hata tulivyodhani! Kaza buti Kamanda wetu Slaa, watu wameshapanick sana!
 
hakuna kubadilika msimamo ni ule ule.............ongeza mishahara, kamata wala rushwa.....its too late.........tuendelee na kampeni za mabadiliko.....hakuna kulala......kinachofurahisha ni jinsi gani kazi ilivyo rahisi kuwaelimisha wananchi endapo unakutana nao.....convincing points ziko nyingi sana...............na kazi iendelee
 
Lakini tuwe makini kwa kujadilia suala hili. Tukumbuke kuwa Rais alikaa kuongeza kiasi ambacho TUCTA walipendekeza (zaidi ya laki tatu kwa mwezi). Hakusema kuwa hataweza ongeza mshahara kabisa. Kwa hiyo tujadili kwa kufuata hii kauli. Kwa jinsi tunavyojadili, nahisi kama tutatoka nje ya mada kabisa kwani wengi wanaamini ongeza la mshahara lilikataliwa kabisa.
 
Ni kweli wameongezwa. Swali kubwa ni kwanini nyongeza hiyo imetolewa kinyemela? Jibu lake ni kuwa hiyo ni rushwa, nawaomba wafanyakazi wasidanganyike,huyu mtu alishawatukana hivyo wasimpe kura kwani yeye mwenyewe kwa kauli yake amesema hazitaki.
 
Ni kweli wameongezwa. Swali kubwa ni kwanini nyongeza hiyo imetolewa kinyemela? Jibu lake ni kuwa hiyo ni rushwa, nawaomba wafanyakazi wasidanganyike,huyu mtu alishawatukana hivyo wasimpe kura kwani yeye mwenyewe kwa kauli yake amesema hazitaki.

jamani hakuna mwenye press release yenye kuonyesha hilo ongezeko, hivi kweli raisi anaweza kuongeza huo mpunga kimyakimya namna hiyo?
 
'You catch more flies with honey than with vinegar' hiyo ndo principle anayotumia jk so jiulize wewe mfanyakazi kama ni inzi au vipi? coz haiitaji eti uwe na degree kujua kwamba jk anahanya hanya kwa uteuzi wa slaa,
 
sasa naona habari za yale magazeti ambaye mmiliki alienda kugombea BUCHOSA zimeanza.....!

Ni vema udadisi kuliko kuanza kubeua. Hayo masuala ya kupuuza kila jambo mwachie Tambwe Hiza na Makamba.
 
Kama kweli wameongezwa MUNGU awape nini watumishi wa umma? Muungeni mkono MUUNGWANA kwa kasi zaidi...ari zaidi....na nguvu zaidi....! CCM YAPANDISHA MISHAHARA .....HONGERA CCM....!

Bado tu huamini wakati wewe ni mdau pamoja na Makamba na Tambwe Hiza? MWanzo ulijifanya kubeza sasa unakuja na rangi zako halisi, kwa watu wa aina yakio bado tuna safari ndefu kuelekea mafanikio
 
jamani hakuna mwenye press release yenye kuonyesha hilo ongezeko, hivi kweli raisi anaweza kuongeza huo mpunga kimyakimya namna hiyo?

hii issue imejadiliwa muda mrefu mbona kuwa majadiliano ya TUCTA na waziri yasiripotiwe ili yasivuruge/yasilete mfumuko wa bei mitaani?
 
Kama kweli wameongezwa MUNGU awape nini watumishi wa umma? Muungeni mkono MUUNGWANA kwa kasi zaidi...ari zaidi....na nguvu zaidi....! CCM YAPANDISHA MISHAHARA .....HONGERA CCM....!

Unajua tafsiri ya rushwa? Kikwete alishasema kuwa mshahara wa wafanyakazi hautakaa uongezwe hata miaka minane (8) ijayo.
 
ISO 9001:2008
SUMMARY OF CHANGES IN TAX LAWS ADMINISTERED BY TRA AS
PER FINANCE ACT 2010
Following the budget speech of 2010/11, the government has reviewed tax laws
administered by TRA that grant exemptions with a view to controlling and instituting
measures to improve supervision. The proposed measures cover the following tax laws:-
1. The Value Added Tax Act, CAP148
2. The Income Tax, CAP 332
3. The Excise (management & Tariff) Act, CAP 147;
4. The Motor Vehicles (Tax on Registration and Transfer )Act, CAP 124
5. Road Traffic Act, CAP 168;
6. The East African Community Customs Management Act, 2004;
7. Tax Laws and Government Notices (GNs) granting exemptions on motor
vehicles.
A: Amendments to the Value Added Tax Act Cap 148
VAT Exemptions
(i) VAT on transportation ( intra- transport) of agricultural products i.e. transportation
of sugar cane, sisal and tea plantations to the processing industry; This is
applicable to organized farming only;
(ii) VAT on machines and equipments used in the collection, transportation and
processing of milk products;
(a) Milk cans (HS Code: 7310.29.90)
(b) Milk pumps-( HS Code no. 8413.81.00);
(c) Milk hoses-( HS Code no. 8413.70.20);
(d) Compressors used in refrigerating equipment-(HS Code no. 8414.30.00)
(e) Milk Storage tanks- (HS Code no. 7309.00.00);
(f) Milk Tankers ( HS Code 8716.31.90);
(g) Milk pasteurizers-( HS Code no. 8434.20.00);
(h) Butter churns- (HS Code 8434.90.00);
(i) Storage chillers– HS Code no. 8415.81.00); and
(j) Chees pressers - (HS Code no. 8434.20.00).
(iii) VAT on animal feeds or seed cake ( locally known as mashudu)
(iv) VAT on agricultural implements i.e. combine harvesters, pick-up balers, hay
making machinery and mowers used in agricultural production and livestock;
(v) VAT on Airfreight charges for transportation of flowers;
(vi) VAT on Breeding services through artificial animal insemination;
(vii) VAT on supply of packaging materials for fruit juices and milk products;
VAT Special Reliefs - Third schedule to the Act
(a) Supply of equipments to a registered Veterinary Practitioner
(b) Importation by or supply of green houses to growers;
(c) Supply of goods and services to the organized farms and farms under
registered cooperatives unions for the purpose of building infrastructures
such as irrigation canal, construction of road networks, godowns and
similar storage facilities;
(d) Supply of building materials and construction services to EPZ
developers;
(e) Practice of classifying certain goods deemed capital goods have been
reinstated; Inter disciplinary committee under TRA will oversee its
implementation to avoid abuse of this facility.
Zero Rate:
VAT on locally produced edible oil using local oil seeds by local processors;
B: The Income Tax Act 2004 Cap 332
(i) Sect. 11 of income tax Act has been amended to introduce Ring fencing
within the mining area. The measure restrict companies to utilize losses of
one mine against the taxable income of another income of another mine
while determining tax liabilities.
(ii) Reduce individual income tax rate from 15% to 14% for employees
RESIDENT INDIVIDUAL INCOME TAX RATES WITH EFFECT FROM 1/7/2010
SN MONTHLY TAXABLE INCOME TAX RATE
1 Where income does not exceed Tshs. 135,000/= NIL
2 Where total income exceeds Tshs. 135,000/= but
does not exceed Tshs. 360,000/=
14% of the amount in excess of Tshs.
135,000/=
3 Where total income exceeds Tshs. 360,000/= but
does not exceed Tshs. 540,000/=
Tshs. 31,500/= plus 20% of the
amount in excess of Tshs 360,000/=
4 Where total income exceeds Tshs. 540,000/= but
does not exceed Tshs. 720,000/=
Tshs. 67,500/= plus 25% of the
amount in excess of Tshs 540,000/=
5 Where total income exceeds Tshs. 720,000/= Tshs. 112,500/=plus 30% of the
amount in excess of Tshs 720 ,000/=
(iii) Extend the application of withholding taxes on goods and services to non-TIN
holders supplying goods or services to all entities.
C: The excise Management and Tariff Act Cap 147
CHANGES OF EXCISE DUTY RATES
SN Types of the item Previous rate
in Tshs.
Current rates
in Tshs.
1.0 Residual fuel oils (HFO) 97 per litre 80 per litre
2.0 Soft drinks 58 per litre
63 per litre
3.0 Beer made from un-malted cereals
209 per litre 226 per litre
4.0 Other beers 354 per litre 382 per litre
5.0 Wine produced with more than 255
imported grapes
1,132 per litre 1,223 per litre
6.0 Spirits 1,678 per litre 1,812 per litre
Excise duty rates on cigarettes
Per 1,000
sticks
Per 1,000
sticks
7.0 Cigarettes without filter tip and containing
domestic tobacco more than 75%
5,749
6,209
8.0 Cigarettes with filter tip and containing
domestic tobacco more than 75%
13,564
14,649
9.0 Other cigarettes not mentioned on 6 & 7 24,644 26,604
10.0 Cut rag or cut filler 12,441 13,436
11.0 Excise duty rate on "Cigars" remain at 30%
D. The Motor Vehicles ( Tax on Registration and Transfer) Act Cap 124
Sn Type Previous fees New fees
1 Motor vehicle registration 120,000/= 150,000/=
2 Motor Cycle registration 35,000/= 45,000/=
E Road Traffic Act Cap 168
SN Ujazo wa Injini Previous
fees
New fees
1 0 – 500. cc 30,000/= 50,000/=
2 501- 1500.cc 50,000/= 100,000/=
3 1501- 2500.cc 100,000/= 150,000/=
4 Over 2500.cc 150,000/= 200,000/=
F. The East African Community Common External Tariff (CET) and Customs
Management Act 2004
Common External tariff
(i) Review the CET rate applicable on aluminium conductors and cables under HS
code 7614.10.00 and HS code 7614.90.00 from 105 to 25%
(ii) Review the CET rate applicable on other cables of copper wire under HS Code
7413.00.90 from 10% to 25%, the measure intended to harmonize with cables
under HS Code 7413.00.10 attracting the CET of 25% and are of competing
products;
(iii) Grant duty remission to the specific inputs which attract duty and are used in
production of duty free finished products. The measure is intended to create
environment of fair competition because some of inputs attract CET rate of 10% or
25%.
(iv) Review the CET Rate applicable on driers under HS Code 3211.00.00 from 10%
to 0%
(v) Review the CET rate applicable on Petroleum coke, not calcined under HS Code
10% to 0%
(vi) Review the CET rate applicable on Stamping foils under HS Code 3212.10.00
from 10% to 0%
(vii) Review the CET rate applicable on pigments dispersed in non aqueous media, in
liquid or paste form of a kind used the manufacture of paints under HS Code
3212.90.10 from 10% to 0%
(viii) Review the CET rate applicable on Flat – rolled products of iron alloy steel
coated or plated with tin of a thickness of 0.5 mm or more under HS Code 7210.11.00
and 7212.10.00 from 25% to 0% and from 10% to 0% respectively
(ix) Review the CET rate applicable on cooking appliances and plates – for gas fuel
under HS Code 7321.11.00 from 25% to 10%
(x) Review the CET rate applicable on wheat under HS Code 1001.90.20 and HS
Code 1001.90.90.90 from 35% to 10% for one year because the supply from within
the Partner States is inadequate.
(xi) Review the CET rate applicable on Motor vehicles with load capacity of 5 tons but
not exceeding 20 tons under HS Code 8704.22.90 from 25% to 10%
(xii) Review the CET rate applicable on Motor vehicles with load capacity exceeding
20 tons under HS Code 8704.23.90 from 25% to 0%
(xiii) Review the CET rate applicable on Sensitive Item of Portland Cement under HS
Code 2523.29.00 to 25%
(xiv) Import duty rate on worn clothing under HS Code 6309.00.00 has been reduced
from 45% or USD 30 cents per kilogram to 35% or USD 20 per kilogram
(xv) Buses to be imported for DART ( Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar es salaam)
Project will attract a duty rate of 10% (HS Code 8702.10.99 and 8702.90.99)
this will apply for one year.
(xvi) Review the CET rate applicable on tractors under HS Code 870.20.90 from 10%
to 0%
Import duty remission or exemptions
(i) Granted duty remission on textile coated with gum used in manufacturing of outer
book covers under HS Code 5901.10.00
(ii) Granted duty remission on looped pile fabrics of gum boot manufacturing under HS
Code 6001.22.00
(iii) Granted duty remission to motor vehicles Assemblers
(iv) Exempt import duty on Parent Stocks under HS Code 010520.90
(v) Exempt import duty on lamps/bulbs using LED technology
(vi) Extend the exemption regime granted to Armed Forces Canteen (AFCO)
(vii) Exempt import duty on examination gloves
NB: The 5th Schedule has been amended to limit the exemption of import duty
granted on importation of motor vehicles by returning residents to only four (4)
years
before the beneficiary can enjoy another exemption.
G: Amendment of the Cashew nut Industry Act, (CAP 203)
Export levy on raw cashew nuts has increased from 10% to 15% on Free on
Board (FOB) or USD 69 per metric tone whichever is higher. 65% of the levy
collected will be divided amongst district councils which are cashew nuts producers
Issued by
Taxpayer Services and Education Department
 
Back
Top Bottom