TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
sasa ndio na-confirm kabisa hata kura zetu hazikuhesabiwa kisahihi... kama hata payroll kitu ambacho unamonitor every month unashindwa kukiamini, utawezaje kuamini a one-off electronic system ya kuhesabu kura?
Hivi kweli tumefikia hatua ya kutojua nani yuko wapi ndani ya nchi yetu, tutawezaje kutambua wairan walio hapa isivyo halali?
Kama walishindwa kulinda amari ya arusha iliyokua haivamiwi na kuua raia, tuna uhakika gani hawa polisi hawataua watu wengine kwa kisingizio cha kulina mali?
Hivi kama staff yupo nje ya nchi kimasomo au ana long leave ya zaidi ya miezi miwili, au hata yupo kwenye short course ya miezi mitatu wata-capture vipi?
Tanzania inadidimia...
Hivi kweli tumefikia hatua ya kutojua nani yuko wapi ndani ya nchi yetu, tutawezaje kutambua wairan walio hapa isivyo halali?
Kama walishindwa kulinda amari ya arusha iliyokua haivamiwi na kuua raia, tuna uhakika gani hawa polisi hawataua watu wengine kwa kisingizio cha kulina mali?
Hivi kama staff yupo nje ya nchi kimasomo au ana long leave ya zaidi ya miezi miwili, au hata yupo kwenye short course ya miezi mitatu wata-capture vipi?
Tanzania inadidimia...