Mishahara na posho za madiwani

PSPA Pure'12 udsm

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
829
443
Heshima mbele Wanajamvi!

Ndugu zanguni poleni na kazi la kujiletea maisha bora kwa Ari mpya na kasi zaidi kama FastJet alivotuhadaa.
Nipo mbele yenu kutaka niongezewe elimu juu ya mishahara,posho na stahili nyinginezo ambazo madiwani wetu Tanzania hupokea kwa mwezi.

Hili linatokana na mshahara anaolipwa mbunge kuwa mkubwa ukijumlisha posho zote kwa mwezi wanajikusanyia mil.7 sasa je Hawa wenzetu wanapokea bei gani?

Nitanguliza shukrani!
Karibu wajuvi.
 
Heshima mbele
Wanajamvi!

Ndugu zanguni poleni na kazi la kujiletea maisha bora kwa Ari mpya na
kasi zaidi kama FastJet alivotuhadaa.
Nipo mbele yenu kutaka niongezewe elimu juu ya mishahara,posho na
stahili nyinginezo ambazo madiwani wetu Tanzania hupokea kwa mwezi.

Hili linatokana na mshahara anaolipwa mbunge kuwa mkubwa ukijumlisha
posho zote kwa mwezi wanajikusanyia mil.7 sasa je Hawa wenzetu wanapokea
bei gani?

Nitanguliza shukrani!
Karibu wajuvi.

posho yao kwa mwezi ni shs 250,000. Posho ya vikao ni shs kati ya 40,000 mpaka 80,0000 kutegemea na halmashauri kwani inategemea mapato ya halmashauri husika
 
Posho Zao Za Vikao Zinatofautiana Kutokana Na Halmashauri Husika,Ila Posho Zao Kwa Mwezi Kwa Halmashauri Zote Nchini Ni Laki Tisa Sabini Na Saba Elfu Na Mia 300 (977300) . Na Zile Za Vikao ni Kuanzia 60,000/= Hadi 120,000/=
 
Posho Zao Za Vikao
Zinatofautiana Kutokana Na Halmashauri Husika,Ila Posho Zao Kwa Mwezi
Kwa Halmashauri Zote Nchini Ni Laki Tisa Sabini Na Saba Elfu Na Mia
300 (977300) . Na Zile Za Vikao ni Kuanzia 60,000/= Hadi
120,000/=

Nzovwe tupe source ya taarifa yako .Mimi ni mmoja wa madiwani manispaa hapa nchini. Umepata kwa nani hii taarifa?
 
Thread ileletwa tarehe 21/02/2013, imepata comment ya kwanza leo tarehe 02/01/2015...maajabu haya.
 
Thread ileletwa tarehe
21/02/2013, imepata comment ya kwanza leo tarehe 02/01/2015...maajabu
haya.

Inawezekana walengwa hawakuiona ila imeonekana leo. Sio ajabu. Ila historia ys jamii forum inaendelea kujiandika hakuna thread ambayo haina mjadala hata baada ya miaka 5
 
Back
Top Bottom