Kupenda usipopenda ni sawa na kusubiria Meli Airport.
Sawa nakubali, lakini pia inabidi uangalie the people who laugh at this guy's jokes. Do they really have sense of humor or are they just laughing simply because mpoki said something? Kwa kweli tuache utani, these Ze comedy people need some real acting lessons as their acting is so kindergarten. Maybe because I don't live in TZ nakuja once in a while lakini their acting is as pathetic as their political satire. There are some fine Bongo dramas ila Ze comedy kwa kweli nashindwa kucheka, I just feel sorry for them badala ya kucheka.
Sooo wht!!! Kuna aliyekuuliza? ....... ndio wale wale mnajifanya ht kuandika kiswahili hamuwezi kumbe hamna ki2. unafanya kazi za ndani huko halafu unajitaaamba na kuwakashifu wasomi wa UDSM.
Mtu asiejitambua utamjua tu,akiwa na ki titlle kimoja kila sehem atakiingiza ili mpate kujua,kwani ungechangia tu bila kusema haupo tz ingekuwaje?au ulikuwa unajitambulisha kama upo nje?acha ushamba huo,kama wewe huvutiwi na comedy hizo sio uponde mpaka wanaovutiwa nazo,kukaa nje nje ya bongo sio sababu'ila sema ulimbukeni tu unakusumbua,
Una haamu nikuchambeee,nikikuchamba utaliaaaaa!.Mkuu punguza kidogo ukali wa maneno,jamaa atajinyonga.
huyu jamaa vipi! wa wapi jamani mbona simuelewi.....
kaka acha dharau na kakingereza kako ka kubahatisha
umepotea njia...
labda utueleze comedy za kwenu huko sijui ni marekani, huwa zikoje...
ebo!