Sasa nini cha maana kilikuchekesha hapo? Kweli wanaume nchi hii hatunaAlipokuwa MC ktk ile KSS mbele ya JK, alisema: "Nzi akiacha ujinga kidogo, atatengeneza asali!" Mbavu ziliniuma usiku ule, mpaka wife akanionea huruma!
Kile kilima cha kupandish kutoka ktk pa nton kinachosha so wanakimbia kukimaliza mapemahahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?
Kile kilima cha kupandish kutoka ktk pa nton kinachosha so wanakimbia kukimaliza mapema
Mkuu, naona umeandika gazeti kubwa sana, binafsi yangu ni mara chache naweza kucheka nikitazama comedy za kitanzania, ni sababu yangu binafsi na makuzi yangu inabidi mtu atumie nishati ya kutosha ili kunichekesha, sasa kuna watu wanacheka na hawajilazimishi kufanya hivyo, mpoki au comedian hawakuumbwa kuchekesha watu wote, sasa ninakushangaa unavyowashangaa watu wanaofurahia comedy ya mpoki! sasa kwa kuwa mpoki ajakidhi vigezo vyangu na vyako ili tucheke ndio tumwone kila mtu anayecheka kuwa anajichekesha? eti unashangaa wabongo wanavyocheka! are you seriously? basi soma coments humu ndani, inaonyesha more than 90% ya wachangiaji wana muelekeo wa kukubali kazi ya mpoki, unahisi wamekosea.. usilazimishe kila mtu akawaza au akapokea kitu kama unavyokipokea wewe,Naona una kasumba ya wabongo kuchukia ukweli ama umehamua tu kuwa mbishi wa kuelewa vitu. Toka lini kusema ukweli kukawa ni tatizo ama kuponda kitu? Kuwa mzalendo si lazima upende hata upuuzi ila unatakiwa pia kukosoa kwa niaba ya wahusika na ndicho nilichokifanya, je kuna kosa? Unajuwa wewe na mimi tunaweza kuangalia kitu kwenye TV na tukawa na mawazo tofauti kabisa ya tulichokiona. Mimi naweza kufagilia tulichokiona wewe ukaponda na pengine sote tukawa hatuna point katika kusifia na ukosoaji wetu. Sasa nikuulize wewe Mpoki, kwa sisi kuwa na mawazo tofauti ya tulichokiona ni kukosa uzalendo ama? Ishu hapa ni kwamba ninashangazwa na acting ya Ze Comedy, kwangu haichekeshi hata kidogo kwani acting yao is pathetic to me. Umeelewa mpaka hapo ama nirudie? Na nikasema ninashangazwa na uchekeshaji wao kwani ni wa ngumbalu, maana ngumbalu ndipo unakuta jokes kama zile za Mpoki. Sasa hapa kosa ni lipi? Na nikaongeza kusema kwamba nafurahia series zingine za kibongo kama Mze Small na King Majuto pamoja na zingine kwani zinachekesha. Sikusifia sinema hata moja ya nje ya Tanzania, sijuwi mwenzangu umeona wapi hayo maneno niliyoandika wakati hayapo, ebu naomba uniambie. Usitoe vitu tu kwenye mawazo yako finyu na kusema fulani kasema wakati si kweli. Usiwe mvivu wa kusoma na kuelewa vitu, soma na uelewe ndipo utoe mada usikurupukie tu kujibu watu ili upate kuonekana kwenye quotes.
mkuu sijajua ushamba wako umefikia uzito kiasi gani, kuna kipimo chochote cha kitu au neno kuwa kichekesho? kwa comedian anaweza kuongea neno la kawaida lakini watu wakacheka kutokana na uwasilishwaji wa neno hilo? anaweza akalitaja jina lako tu watu wakacheka, na comedian kuna level anafika watu wakimuona tu anafanya shoping wanaanza kucheka, ndio maana nakuuliza unaijua comedy? maana unashanaa neno kwa kuwa halichekeshi as if mpoki anafanya comedy ya kuandika kwenye gazeti.Na hiki ni kicheko? There are some jokes that make you laugh ila tusilazimishe kuchekeshana jamani. Ze Comedy wanahitaji msaada wa kuchekesha.
ukipwendwa na wote utakuwa mnafiki ww usiwakubali wa kuwasapoti ze comedy tuachie wenyeweSiishi Bongo ila kwa sasa nipo hapa huu mwezi wa tatu nakaribia kuondoka tena. Ninajaribu sana kuelewa ni nini haswa watu wanacheka kwenye ze comedy. Kiukweli hata acting yao is pathetic. Siyo kama nakandia ze comedy (maana mtanzania mkimwambia ukweli anadhani unakandia), ila jamaa hawana ishu. Mbona nina enjoy drama series nyingi tu za kibongo na hata comedi za king majuto na mze small zinafurahisha shinda hata hawa ze comedy. Tatizo siyo kuishi nje, ila sioni uchekeshaji wao, ni wa kitoto mno dizaini ya ngumbalu.
mchicha hauuzwi buchani
Daily News halisomwi tandale kwa mtogole
Amezaliwa ocean road cz mamayake mvivu angesogea kidogo 2, angezaliwa ikulu..
Jamani kwani wana kipindi tena hawa jamaaMasanja kuna dizaini kama huwa analazimisha watu kufurahi. Ila huyu jamaa na joti ni noma. Sema tu wanamfagilia JK.
Ila inazima mshumaaChafya ya mpishi haizimi moto!!!!!!