Sitosahau kilimatinde! (huyu jamaa naskia walimfanyia kitu mbaya maeneo hayo!)
Hard rock to infinity!
Dear mama!
When all is said and done,more is said than done!
Allah Ibarik!
Usinitafute!
Ukifika wasalimie!
La kuchumpa!
Salam zao!
Kuna 109 moja ilikuwa maarufu sana miaka ya 80s kule kigoma, ilikuwa imefungwa minyororo kibao kule nyuma,
mchana inakuwa juu ya mawe-usiku inakula magendo, nimesahau msemo wake! waliokuwa ujiji enzi hizo watanikumbusha,
pamoja na basi moja "Nusu mkate". Zamani ujumbe wote ulikuwa na maana, siku hizi naona wanabandika majina ya watu tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.