Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
No Hurry in Africa
Ilikuwa Ipogolo Iringa, Gari ni Benz (lory la mizigo) jamaa alikuwa kapaki karibu na petrol station, yuko na mtoto mbichiiiiiii wametandika mkeka wamepumzika pembeni wanapata bia barrrrrrrrridi. kweli ile ilikuwa haina haraka, jamaa anatembea mna mchichu anakwenda Zimbabwe. pale nadhani alitumia to weeks
Kuna SISI KWA SISI
Ilikuwa Ipogolo Iringa, Gari ni Benz (lory la mizigo) jamaa alikuwa kapaki karibu na petrol station, yuko na mtoto mbichiiiiiii wametandika mkeka wamepumzika pembeni wanapata bia barrrrrrrrridi. kweli ile ilikuwa haina haraka, jamaa anatembea mna mchichu anakwenda Zimbabwe. pale nadhani alitumia to weeks
Kuna SISI KWA SISI