Habari wadau,
binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku
Natamani sana kabla sijafa nije nione mechi ya simba na yanga ambayo sio ya ligi kuu wala kombe lolote local
natamani mechi ya simba na yanga taifa iwe ya nusu fainali ya ligi ya mabinga Africa. Ile tumewatoa sana watu mwisho wa siku tunakutana wenyewe kwa wenyewe. Kama real madrid vs barcelona UEFA, au Chelsea vs liverpool UEFA.
hata africa inawezekana sana na game zinakuwakaga kaliii balaa.. eg zamalek na al haly wakikutana caf champions league vurugu la mashabiki hapo misri hadi wanapigwaga mabomu ya machozi. Why not this in Tanzania?
Mchawi mkubwa wa Yanga yangu na watani zangu Simba ni Poor Management, matumizi mabovu ya scarce resources, matajiri ambao hawana nia ya dhati ya kuzikomboa hizi timu, na fikra mbovu za TFF
Mimi nikipewa yanga leo niwe decision maker wao.... nita cut vitu vingi sana kama Uncle Magu vile na hela nyingi nitaipeleka kwenye salary na bonus za wachezaji, gharama za hotel na usafiri wa timu.
Mambo yote yasiyo na msingi sipeleki hata sentii, hii ndio style iliyoipa enyimba ubingwa wa caf champions league mwaka 2003 na 2004.
Sina takwimu nzuri ila Yanga yangu inasemekana ina wanachama zaidi ya milion 1.. na mashabiki ambao sio wanachama zaidi ya milioni 6.
Naweza kutumia huu mtaji wa mashabiki na wanachama tu kupata hela za kuendesha timu mwaka mzima bila kumtegemea manji.
humu kuna mauzo ya jezi, humu kuna kadi za wanachama, humu kuna michango tu ya wanachama na mashabiki watakaoguswa. Kuna fund raising kwa watu tofauti tofauti ambao ni mashabiki, alumni na fans wa yanga ambao ni wana uwezo kifedha.
Na style ya pili baada ya kulipa wachezaji vizuri na kwa wakati. Naweka mfumo wa ukicheza chini ya kiwango nakutimua naajiri mwingine.
Na kila ushindi ukipatikana wachezaji wote wanagawana bonus nzuri tu.
Why nimeweka mfano wa Diamond Platnumz pia. Nitarudi kueleza mbinu yake aliyoitumia kutawala Africa, kwamba hata kwenye soka inafanya kazi ikitumika kwa timu zetu.
binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku
Natamani sana kabla sijafa nije nione mechi ya simba na yanga ambayo sio ya ligi kuu wala kombe lolote local
natamani mechi ya simba na yanga taifa iwe ya nusu fainali ya ligi ya mabinga Africa. Ile tumewatoa sana watu mwisho wa siku tunakutana wenyewe kwa wenyewe. Kama real madrid vs barcelona UEFA, au Chelsea vs liverpool UEFA.
hata africa inawezekana sana na game zinakuwakaga kaliii balaa.. eg zamalek na al haly wakikutana caf champions league vurugu la mashabiki hapo misri hadi wanapigwaga mabomu ya machozi. Why not this in Tanzania?
Mchawi mkubwa wa Yanga yangu na watani zangu Simba ni Poor Management, matumizi mabovu ya scarce resources, matajiri ambao hawana nia ya dhati ya kuzikomboa hizi timu, na fikra mbovu za TFF
Mimi nikipewa yanga leo niwe decision maker wao.... nita cut vitu vingi sana kama Uncle Magu vile na hela nyingi nitaipeleka kwenye salary na bonus za wachezaji, gharama za hotel na usafiri wa timu.
Mambo yote yasiyo na msingi sipeleki hata sentii, hii ndio style iliyoipa enyimba ubingwa wa caf champions league mwaka 2003 na 2004.
Sina takwimu nzuri ila Yanga yangu inasemekana ina wanachama zaidi ya milion 1.. na mashabiki ambao sio wanachama zaidi ya milioni 6.
Naweza kutumia huu mtaji wa mashabiki na wanachama tu kupata hela za kuendesha timu mwaka mzima bila kumtegemea manji.
humu kuna mauzo ya jezi, humu kuna kadi za wanachama, humu kuna michango tu ya wanachama na mashabiki watakaoguswa. Kuna fund raising kwa watu tofauti tofauti ambao ni mashabiki, alumni na fans wa yanga ambao ni wana uwezo kifedha.
Na style ya pili baada ya kulipa wachezaji vizuri na kwa wakati. Naweka mfumo wa ukicheza chini ya kiwango nakutimua naajiri mwingine.
Na kila ushindi ukipatikana wachezaji wote wanagawana bonus nzuri tu.
Why nimeweka mfano wa Diamond Platnumz pia. Nitarudi kueleza mbinu yake aliyoitumia kutawala Africa, kwamba hata kwenye soka inafanya kazi ikitumika kwa timu zetu.