Mimi ni mwalimu, naacha kazi nijiajiri

Felice1

Senior Member
Nov 11, 2016
106
142
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato.

Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe.

Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
 
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Wanaoacha kazi serious hawatangazi kwa mihemko mitandaoni - Grow Up Dude
 
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Kiukweli kama unataka mafanikio achana na hiyo kazi ni yakimaskini hasa kwa tanzania kazi kubwa, mazingira ya hovyo,serikali inataka matokeo mazuri wakati wewe haikujali wala mazingira ya kufanyia kazi hayayajali na imekutelekeza porin madarasa mawili bila choo wala nyumba ya mwalimu na mpo walimu 3 wanafunzi 600.

Haki zinazurumiwa kila siku ,kulaumiwa kila wakati,kudharauliwa ,mtoto unamfundisha wewe hongera na tuzo anapewa afisa elimu wakati hajawahi fika hata shulen kwako, ubabaishaji mwing sana kwenye sekta hiyo .

Ni sekta ambayo tangu tupaye uhuru bado ipo kwenye majaribio nakushauri achana nayo mil2 unaweza kufanya kitu jamaa yangu kama ukijifunga mkanda kwelikweli.
 
Ni uamuzi mzuri sana kaka mimi naku unga mkono komaaa kitaaa adi kifo chako !!!uki kata tamàaaa basi umepoteana
 
Kiuhalisia kazi ya kufundisha inataka moyo, ndio maana wanaita kazi ya wito!

Kama uliingia kwa nia ya kupata maslahi kamwe haitakufaa, waachie wale walioitwa......

Kila la heri.
Umeongea ukweli mpaka umenigusa Mimi binafsi sikuwahi kuupenda ualimu kama ajira tangu nazaliwa mpaka kesho ila family ndo imeniforce but mbeleni ntakuja kuchange tu

sometimes familia zetu za hali ya chini zinapoteza sana ndoto za vijana wengi kwa kisingizio cha soma ualimu upate mkopo na ukimaliza uajiriwe mapema huku moyoni mtu haupendi hiyo carrier
 
Back
Top Bottom