Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,607
...................Samahani mkuu nikuulize jambo!Aisee pole sana. ....mojawapo ya matokea ya ku jiweka wazi ndio kama hizo rejections.
Usikate tamaa muda bad unao na utabarikiwa mtu muelewa na mtakuwa na familia yenu.
Jitahidi kumsamehe na ujisamehe wewe pia, kwa maana ni jukumu lako kujilinda afya yako kwanza.
Ni muda sasa tujifunze kuacha kuwa nyanyapa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwaona kama wamemkosea Mungu au walikuwa na maienendo michafu kufika maambukizi.
Kila la kheri Protein
Ktk situation kama hii mimi kama mwanaume wewe kama mwanamke ikitukuta tufanyeje?well mimi siwezi kumpigia muhusika simu immediately kwamba bwana sitakuowa zaidi nitajitahidi kutafuta mazingira salama kwake kwa ajili ya kumwambia ila wewe unategemea na upo tayari kufanya nini?
Kuanzisha familia labda!?