Mimi ni Mlokole nataka kuoa Mroma

mkuu nyenyere huyu jamaa tedo anasema anamwamini Yesu then anatukana watu name pia ni mhanga wa matusi yake. natamani ningemfundisha haya mambo lakini inaonekana ni roho nyingine hii. Maana mimi nimesema maandiko yanasema msifungiwe nira pamoja na wasio amini bana wee jamaa kaja kama moto wa kifuu hata bila kuuliza nini maana ya andiko hilo! msamehe bure tu.
Nyinyi watu nani kawalogaaa?????? Mbona wote ni vilaza....? Maana ya hilo andiko ndo nini....Yani unataka ku-justfy ushenzi wa ubaguzi wa kidini kwa ku-miss quote biblia...Eti kisa unaongozwa na roho....Pathetic fool x2. Sasa naanza kuamini kwanini kipindi kile cha machafuko ya kuchinja kule kanda ya ziwa ni walokole ndo walishiriki zile vurugu kwa kisingizio eti wnaongozwa na roho......Enyi wana kutoka kuzimu nani kawalogaaaa????
 
Kwahiyo ujui kuwa roma ndiyo kanisa kristu aliloacha? Ujui kuwa roma ndiyo ukristu wa kweli? Achana na conspiracy theories , tena fanya research juu ya catholic church...nenda catholic.com, whyimcatholic.com utapata majibu juu ya imani ya kikatoliki na siyo mataptap ya wasabato na wapteotestanti aka waasi...
Endelea kujipa moyo hivyohivyo na Udhehebu unaoushabikia..
Aliyekudanganya kuwa YESU aliacha ukatoliki ni nani!!!! Poor you
 
wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
Kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
Je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
Je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
Je anaweza kuathiri wokovu wangu?
Je naweza kwenda mbinguni?
Je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?

what i do beleive is.... Everything happen for a reason!
And if u did pray dont expect God to come to u and tell u direct.. Imani imewakutanisha, upendo ukawaunganisha, uaminifu na tumaini lenu kwa Yesu Kristo, halitawatenganisha na kusudio lake.
**goodlucky dude**
 
wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali Efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
je anaweza kuathiri wokovu wangu?
je naweza kwenda mbinguni?
je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?
........!!kwani huyo mroma sio mwanamke?
 
wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali Efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
je anaweza kuathiri wokovu wangu?
je naweza kwenda mbinguni?
je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?

kwanza kabisa unapaswa kutambua hakuna mroma.kuna mkatoliki.kwani waroma wako romania.pili Mungu hana dini wala dhehebu.hana cha ulokole wala ukatoliki.pia wokovu ni imani yako,haijalishi unaabudu kupitia dhehebu lipi.
 
AMOSI 3:3 je watu 2 waweza kutembea pamoja wasipokuwa wamepatana? mkioana mtakuwa mnasali wapi? romani au efatha?
Siyo maana nyepesi kiivyo unavyodhani kwani wawili hao wako ktk imani moja yaani ukristo,ambao maanke ni kuishi kama alivyoishi kristo ,wote wawili ni waumini wa yesu kupitia biblia.hawako tofauti wanaweza kusali kokoye kati ya huko au kila mtu akaenda kivyake wakakutana home.Ulokole na Ukatoliki ni human style here on earth and not our God style in heaven.
 
Back
Top Bottom