Mimi ni kijana mwenye degree tatu ninaeuza nyanya Karatu

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,743
9,875
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama, badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
 
Wewe huna degree 3 , bali una karatasi linalokutambulisha kuwa una degree lkn kichwani wewe una level ya chekechea.

Mwenye degree 3 kichwani hawezi kuja hapa na kuanza kutapika uharo huu.

Ulipokuwa chuo badala ya kuwa bize kujipatia maarifa ulikalia kubeti na kudanga, mwisho wa siku ukatoka kapa. Acha maisha yakunyooshe.

Bibi yangu yuko Kijijini na darasa lake la 4 lkn amemsomesha baba yetu na wadogo zake. Hajawahi kuajiriwa popote. Wewe una bahati ulipelekwa shule mpk ngazi ya chuo kikuu lkn ukakalia kufanya ushubwada.
 
Wewe huna degree 3 , bali una karatasi linalokutambulisha kuwa una degree lkn kichwani wewe una level ya chekechea.

Mwenye degree 3 kichwani hawezi kuja hapa na kuanza kutapika uharo huu.

Ulipokuwa chuo badala ya kuwa bize kujipatia maarifa ulikalia kubeti na kudanga, mwisho wa siku ukatoka kapa. Acha maisha yakunyooshe.

Bibi yangu yuko Kijijini na darasa lake la 4 lkn amemsomesha baba yetu na wadogo zake. Hajawahi kuajiriwa popote. Wewe una bahati ulipelekwa shule mpk ngazi ya chuo kikuu lkn ukakalia kufanya ushubwada.
Mjomba una povu 😀
 
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama. Badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
Degree 3 ndio hizo ulizotaja ?
 
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama. Badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
Kama kwel una hzo degree tatu bax tuliza akili yak 2..unawez kutoboa kwa hy hiy niashara yako..Nb:kama degree zako sio za mchongo.
 
Ro
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama. Badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
Rotation of Rigid body itakusaidia kwenye hiyo Garage ndio kwao.
 
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama. Badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
Mkuu pole sana, lakini HONGERA kwa kujitambua mapema na hivyo kubadirisha gia angani. Karatu siku hizi votunguu vipi?
 
Asikwambie mtu, biashara ni ngumu sana, isitoshe pesa hakuna. Vyuma vimekaza ilihali mama yangu anamiliki "garage" iliyosheheni makopo kibao ya grisi

Nina shahada tatu nilizozisotea kwa muda mrefu sana. Mbali na kujibana bana kwenye matumizi ya boom langu ambalo nilihitaji kumega nusu ya pesa hiyo ili kujazilizia ada, mama hakutaka hata kugeuza shingo yake kunitazama mimi mwanae.

Niliutegemea msaada kutoka kwa baba, lakini ndo basi tena. Nikamwambia mama kama ikimpendeza anipatie nafasi ya ulinzi kwenye gereji yake, wajomba zangu wakadakia na kumshauri mama eti nijiajiri, nitafute kwa jasho langu

Inauma asikwambie mtu. Ni mara mia ningeishia kidato cha nne. Ningekuwa mbali kimaisha

Karibuni sana ndugu zangu hapa Karatu mnichangie nyanya. Fungu 500, moja mia

Ushauri: Mama. Badili mfumo wa elimu nchini. Wafundishe wanetu stadi za maisha na namna ya 'kuhandle' biashara. Waandaeni na maisha ya kutokutegemea ajira. Elimu ya kidato cha nne mkiimodify inatosha. Sasa hayo ma integration, barometer, african resistance, circular motion e.t.c yatanisaidia nini kwenye matenga ya nyanya hapa Karatu?
Hongera kwa kujituma.
 
Back
Top Bottom