rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
muda umekwenda sana,kila ninayekutana naye ana mapungufu ambayo siwezi kuyavumilia
huyu niliye naye ni wa mwisho,nitakaa na wale watoto wangu niliozaa na wale wamama wengine na kuwalea
nafikiri ni kosa kubwa kuishi miaka mingi bila kuoa!!!!!!shunguliiiii lakini nitaweza!
huyu niliye naye ni wa mwisho,nitakaa na wale watoto wangu niliozaa na wale wamama wengine na kuwalea
nafikiri ni kosa kubwa kuishi miaka mingi bila kuoa!!!!!!shunguliiiii lakini nitaweza!