Kizamani
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 418
- 108
Huyu mpe tu miezi miwili atakuwa kimyaa, Kama hayupo vile. Twiga na faru bado wanahitajika nje huko, ni miradi ya watu hiyo.
Mimi nilijua mama Tibaijuka alirudi Nairobi, kumbe bado yupo. Ni yapi yaliyomsibu tena jamani mpaka anakosa makali.
''Mama vua gamba njoo huku tukuvishe gwanda, litakupendeza sana na litakupa uhuru wa kutenda".
Mimi nilijua mama Tibaijuka alirudi Nairobi, kumbe bado yupo. Ni yapi yaliyomsibu tena jamani mpaka anakosa makali.
''Mama vua gamba njoo huku tukuvishe gwanda, litakupendeza sana na litakupa uhuru wa kutenda".