BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,501
Masikini sisi ndio tunapiga milo mitatu kwa siku tena sio miatatu tu inaweza kuwa minne. Make tunapiga Chai, mchana tunapiga Chakula jioni Supu na bado tena Chakula cha usiku. Hapo katikati kabla ya saa 7 kuna mara soda, mara karanga maea matunda.
Matajir wengi wanakula milo miwili kwa siku, asubuhi na jioni basi inatosha na wana ratiba na mpangilio wa kula, sisi masikini ssala la mpangilio wa kula halipo na ndio maana tuna figire hazieleweki eleweki.
Prof Janabi akisema anakula milo miwili mimi namuelewa fika hio ni hulka ya watu wengi wenye pesa zao. Sasa masikini lazima tushangae anaweza vipi kula milo miwili kwa siku.
Kisayansi kwanza ieleweke hakuna kitu na hahisi njaa, ile ni saikolojia isha jengeka kwemye ubongo ikifika saa 7 tu unataka kula, au saa 4 chai. Ila mwili sio kwamba ubakuta umeishiwa chakula hapana ila ni uramaduni mwili umeijengea.
Watu wanao funga ndio maaana siku za mwanzo wanapata sana shida ila wakisha zoea ile hali inapotea kabisa, sasa wakina Prof Jajabi walisha jitwin, mchana hawezi hisi njaa make kamwe.
Matajir wengi wanakula milo miwili kwa siku, asubuhi na jioni basi inatosha na wana ratiba na mpangilio wa kula, sisi masikini ssala la mpangilio wa kula halipo na ndio maana tuna figire hazieleweki eleweki.
Prof Janabi akisema anakula milo miwili mimi namuelewa fika hio ni hulka ya watu wengi wenye pesa zao. Sasa masikini lazima tushangae anaweza vipi kula milo miwili kwa siku.
Kisayansi kwanza ieleweke hakuna kitu na hahisi njaa, ile ni saikolojia isha jengeka kwemye ubongo ikifika saa 7 tu unataka kula, au saa 4 chai. Ila mwili sio kwamba ubakuta umeishiwa chakula hapana ila ni uramaduni mwili umeijengea.
Watu wanao funga ndio maaana siku za mwanzo wanapata sana shida ila wakisha zoea ile hali inapotea kabisa, sasa wakina Prof Jajabi walisha jitwin, mchana hawezi hisi njaa make kamwe.