mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,282
mimi naona huyu mmasai ndie Vuvuzela,pia na akome kutymia jina la Mwl Nyerere ,kwani Nyerere aliwapiga chini hao maboss zake Vuvuzelya Millya ,naona Millya sasa ndio anazidi kuonyesha Uvuvuzela wake ,kisa ni vijisenti na ukabila ,kama alishindwa Simanjiro huko kwingine ndio ataweza ,KAMA MNAPENDA KAMPIKIENI CHAI,JITU ZIMA NA NDEVU LINAENDESHWA KWA REMOTE NI KAMA ROBOT VILE