Elections 2010 Mikutano ya kampeni ya CCM ina mantiki yoyote

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,987
11,364
Wakuu mie ni mdau wa nchi yangu na ni mpenzi sana wa bongo

For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya CCM, nijuavyo mimi kampeni ni kuvutia watu wakuchague

sasa napata shida kuona kwamba katika mikutano ya CCM, zaidi ya asilimia 90 ya wanaohudhuria, tayari wanakua na nguo za CCM, sasa je kuna haja tena ya kumkampenia mtu aliyekwisha kupa kura yake????? kuna mantiki ipi kwenda kutoa ahadi kwa aliyekwisha kupa moyo wake?

isnt it a waste of time and resources??
 
Acid,
Mimi nadhani CCM inataka kuonyesha kwamba bado ni maarufu nchini na kuwashawishi wapiga kura wanaosita kuipigia tena kura. Kwa sababu ukiangalia kulikuwa na sababu gani za kuchapisha na kusambaza mapicha ya Jakaya Kikwete, mabango, na ma-t shirt ili hali huyu jamaa anafahamika Tanzania nzima? Ingetosha tu kuweka mabango ya kuwakumbusha wapiga kura waichague CCM lakini si kutumia dola millioni 2 kuchapisha mabango Canada kumtangaza mtu ambaye tayari anafahamika. Kikwete angekuwa na utendaji mzuri Ikulu, hivi sasa all he had to say ni kwamba nipe muhula mwingine ili tuendeleze yale mazuri tuliyoyaanzisha. Lakini hamna, kwa hiyo lazima wasambaze t-shirts, kanga na kugawa shilingi elfu moja elfu mbili na malori ya kusomba watu.
 
hojayako ina mantiki
yaani hakuna mantiki kwa CCM wanavyoenenda
 
Ni mapenzi ya wananchi wenyewe kwenda kwenye mikutano wamevaa kijani.. sawasawa na kwenda kwenye kampeni ukiwa tayari ushafanya maamuzi na umebeba bango "hatudangayiki"..
 
Ni mapenzi ya wananchi wenyewe kwenda kwenye mikutano wamevaa kijani.. sawasawa na kwenda kwenye kampeni ukiwa tayari ushafanya maamuzi na umebeba bango "hatudangayiki"..



Ujanja wa CCM wagundulika


na Mwandishi wetu, Dodoma


amka2.gif
MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM), zinazotumika katika kukusanya na kujaza watu kwenye mikutano ya mgombea urais wa chama hicho, zimegundulika baada ya baadhi ya walimu wa shule za msingi mjini Dodoma kutoboa siri.
Ilibainishwa jana mjini Dodoma, kuwa agizo limetolewa kwa walimu wote walioko kwenye shule zilizoko kwenye mji huo, kuhudhuria kampeni za mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, kesho; huku onyo likitolewa kwa watakaoshindwa kuhudhuria kuwa watawajibishwa.
Kwa mujibu wa baadhi ya walimu waliozungumza na Tanzania Daima, walimu wakuu wa shule walipokea ujumbe kutoka kwa waratibu wa elimu wa kuwataka watoe matangazo kwa walimu wao kuhudhuria mkutano huo bila kukosa.
Walimu hao, walisema baada ya kupewa tangazo na walimu wao wakuu walihoji na kuambiwa kuwa ni agizo kutoka kwa waratibu wa elimu.
Mbali ya walimu, agizo hilo limewalenga wanafunzi wa darasa la tano na la sita kwa baadhi ya shule kutokana na wanafunzi wa darasa la saba kuhitimu shule wiki chache zilizopita.
Baada ya kupata habari hizo, Tanzania Daima ilitembelea baadhi ya shule na kuzungumza na walimu na baadhi ya wanafunzi ambao walikiri kuwepo kwa hali hiyo, huku wengine wakidai hawajaelewa wanakwenda kufanya nini kwenye kampeni hizo. Kwa upande wa wanafunzi waliozungumza na Tanzania Daima katika shule za Makole, Medeli na Nkuhungu, walisema wametangaziwa na walimu kuwa wafike nje ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma majira ya saa 8 siku ya Jumapili bila kukosa.
 
Ujanja wa CCM wagundulika


na Mwandishi wetu, Dodoma


amka2.gif
MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM), zinazotumika katika kukusanya na kujaza watu kwenye mikutano ya mgombea urais wa chama hicho, zimegundulika baada ya baadhi ya walimu wa shule za msingi mjini Dodoma kutoboa siri.
Ilibainishwa jana mjini Dodoma, kuwa agizo limetolewa kwa walimu wote walioko kwenye shule zilizoko kwenye mji huo, kuhudhuria kampeni za mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, kesho; huku onyo likitolewa kwa watakaoshindwa kuhudhuria kuwa watawajibishwa.
Kwa mujibu wa baadhi ya walimu waliozungumza na Tanzania Daima, walimu wakuu wa shule walipokea ujumbe kutoka kwa waratibu wa elimu wa kuwataka watoe matangazo kwa walimu wao kuhudhuria mkutano huo bila kukosa.
Walimu hao, walisema baada ya kupewa tangazo na walimu wao wakuu walihoji na kuambiwa kuwa ni agizo kutoka kwa waratibu wa elimu.
Mbali ya walimu, agizo hilo limewalenga wanafunzi wa darasa la tano na la sita kwa baadhi ya shule kutokana na wanafunzi wa darasa la saba kuhitimu shule wiki chache zilizopita.
Baada ya kupata habari hizo, Tanzania Daima ilitembelea baadhi ya shule na kuzungumza na walimu na baadhi ya wanafunzi ambao walikiri kuwepo kwa hali hiyo, huku wengine wakidai hawajaelewa wanakwenda kufanya nini kwenye kampeni hizo. Kwa upande wa wanafunzi waliozungumza na Tanzania Daima katika shule za Makole, Medeli na Nkuhungu, walisema wametangaziwa na walimu kuwa wafike nje ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma majira ya saa 8 siku ya Jumapili bila kukosa.

saa nane usiku iweje? ili wapewe chai? au mnaji awafanyia dawa za kufikia vizuri siku ya kupiga kura?
 
Ujanja wa CCM wagundulika


na Mwandishi wetu, Dodoma


amka2.gif
MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM), zinazotumika katika kukusanya na kujaza watu kwenye mikutano ya mgombea urais wa chama hicho, zimegundulika baada ya baadhi ya walimu wa shule za msingi mjini Dodoma kutoboa siri.
Ilibainishwa jana mjini Dodoma, kuwa agizo limetolewa kwa walimu wote walioko kwenye shule zilizoko kwenye mji huo, kuhudhuria kampeni za mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, kesho; huku onyo likitolewa kwa watakaoshindwa kuhudhuria kuwa watawajibishwa.
Kwa mujibu wa baadhi ya walimu waliozungumza na Tanzania Daima, walimu wakuu wa shule walipokea ujumbe kutoka kwa waratibu wa elimu wa kuwataka watoe matangazo kwa walimu wao kuhudhuria mkutano huo bila kukosa.
Walimu hao, walisema baada ya kupewa tangazo na walimu wao wakuu walihoji na kuambiwa kuwa ni agizo kutoka kwa waratibu wa elimu.
Mbali ya walimu, agizo hilo limewalenga wanafunzi wa darasa la tano na la sita kwa baadhi ya shule kutokana na wanafunzi wa darasa la saba kuhitimu shule wiki chache zilizopita.
Baada ya kupata habari hizo, Tanzania Daima ilitembelea baadhi ya shule na kuzungumza na walimu na baadhi ya wanafunzi ambao walikiri kuwepo kwa hali hiyo, huku wengine wakidai hawajaelewa wanakwenda kufanya nini kwenye kampeni hizo. Kwa upande wa wanafunzi waliozungumza na Tanzania Daima katika shule za Makole, Medeli na Nkuhungu, walisema wametangaziwa na walimu kuwa wafike nje ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma majira ya saa 8 siku ya Jumapili bila kukosa.

WASTED :llama:
ccm hawawezi ikajaza watu amabo hawajajiandikisha au hawana haki ya kupiga kura katika malori! sasa si itakuwa wanajinganya wenyewe.. kama ikiwakusanya watu na malori toka sehemu za mbali! TATIZO NINI?!! inabeba waje wasikilize sera then inarudisha au wewe ulitaka watembee kwa miguu

ALAFU HIYO ADD. YA Gazeti la Sayari unalipia!
 
Wakuu mie ni mdau wa nchi yangu na ni mpenzi sana wa bongo

For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya CCM, nijuavyo mimi kampeni ni kuvutia watu wakuchague

sasa napata shida kuona kwamba katika mikutano ya CCM, zaidi ya asilimia 90 ya wanaohudhuria, tayari wanakua na nguo za CCM, sasa je kuna haja tena ya kumkampenia mtu aliyekwisha kupa kura yake????? kuna mantiki ipi kwenda kutoa ahadi kwa aliyekwisha kupa moyo wake?

isnt it a waste of time and resources??

Of course it is
 
Back
Top Bottom