TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,987
- 11,364
Wakuu mie ni mdau wa nchi yangu na ni mpenzi sana wa bongo
For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya CCM, nijuavyo mimi kampeni ni kuvutia watu wakuchague
sasa napata shida kuona kwamba katika mikutano ya CCM, zaidi ya asilimia 90 ya wanaohudhuria, tayari wanakua na nguo za CCM, sasa je kuna haja tena ya kumkampenia mtu aliyekwisha kupa kura yake????? kuna mantiki ipi kwenda kutoa ahadi kwa aliyekwisha kupa moyo wake?
isnt it a waste of time and resources??
For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya CCM, nijuavyo mimi kampeni ni kuvutia watu wakuchague
sasa napata shida kuona kwamba katika mikutano ya CCM, zaidi ya asilimia 90 ya wanaohudhuria, tayari wanakua na nguo za CCM, sasa je kuna haja tena ya kumkampenia mtu aliyekwisha kupa kura yake????? kuna mantiki ipi kwenda kutoa ahadi kwa aliyekwisha kupa moyo wake?
isnt it a waste of time and resources??