Kuna rafiki yangu ni mwalimu,alikopa mil 1 na nusu, mbali na kwamba alikuwa anakatwa laki na ishirini kila mwezi, baada ya mwaka mmoja amelipa million 4 na nusu,mbali na hela alizokuwa anakatwa,ili kumaliza mkopo wote sababu aliona wanakata na deni halipungui.ila kama unakopa ulipe baada ya mwezi mmoja zote huenda riba yao ikawa ndogo ,ila kwa mkopo wa muda mrefu...kuwa na tahadhari mapema
Njaa zmezid sas hv kila m2 anabun njia ya kupata msosi ss ukiwa madenge utaisoma no. tusipende vya bure tufanye kaz jamanii.... wabongo kwa kupenda vya bureeeeee
Tafadhali nakuomba usije ukathubutu kuingia huko,utalia,kuna jamaa yangu alikopa only 2ml,ila inatakiwa areje 6 ml point something kwani wanakata 135,00 kwa mwezi na kwa miezi 48,afadhali nmb coz 2ml kwa miaka 3,utarejesha only 2.7ml na 75000 kwa mwezi
Njaa zmezid sas hv kila m2 anabun njia ya kupata msosi ss ukiwa madenge utaisoma no. tusipende vya bure tufanye kaz jamanii.... wabongo kwa kupenda vya bureeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.