wizaga
Member
- Nov 27, 2011
- 70
- 8
Jana nimetembelea benk ya nmb kwa ajili ya kupata mkopo kwa watumishi wa halmashauri,kitu ambacho kimenishitua riba .
- nikaabiwa kama mshahara wako ni millioni mojakwa miaka minne utapata kiasi furani kwa asilimia 18 na zaidi ya hiyo utapata asilimia zaidi ya ishirini HUU MIMI NAUITA KUMUUWA MTUMISHI.
- NI BANK IPI BASI INATOA ASILIMIA NAFU KWA ASILIMIA YA CHINI NA MUDA MREFU NA KWA HARAKA ZAIDI NAOMBA MSAADA KWA HILI