Karina
Member
- Jun 17, 2011
- 51
- 16
Mi nafikiri kile kipengele cha mpaka kifo kitakavyotutenganisha (???) Kiangaliwe kwa jicho la tatu
maana upande mmoja naona kama unaumizwa!!!!!! Uzuri wa mkataba na wote mfaidike nao ni kila mmoja kutokukiuka makubaliano.
maana upande mmoja naona kama unaumizwa!!!!!! Uzuri wa mkataba na wote mfaidike nao ni kila mmoja kutokukiuka makubaliano.
- NIKUPENDE:israel:
- NIKUTUNZE:israel:
- KATIKA TABU NA RAHA:israel: