Si kwa sababu walifanya filamu zao msimu wa mvua na baridi?Haikuwa kazi nyepesi kuigiza movie za Yesu. Songombingo lilianza katika ile scene ya msalabani. Scenes zote ilikuwa rahisi sana isipokuwa ile ya msalabani.
Kwenye ile movie ya mwaka 1979 ya Yesu iliyoigizwa na Decon, Brian Deacon anasimulia kwenye interview kuwa wakati wa scene ya msalabani haikuwa nyepesi kuigizwa kwani walikumbana na dhoruba kubwa la radi kiasi cha kushindwa kuigiza hivyo wakasubiri siku inayofuata. Haikubadilika, Hali ilitulia lakini baada ya Decon kuwekwa msalabani upepo mkali ulivuma, lakini hawakukata tama. Movie ya yesu ya Brian Deacon ndio movie mpaka sasa inayoshikilia rekodi ya Dunia ya kutazamwa mara nyingi na pia inashikilia rekodi ya movie iliyotafsiriwa kwenda lugha mbalimbali Duniani. Movie hii ilichezewa huko katika milima ya nchini Israel. Na mpaka leo hii Director (Muongozaji) wa filamu huyo hajulikani ni nani. Na baadhi ya waigizaji walishafariki na muigizaji mkuu aliyeigiza kama Yesu sasa ana takribani miaka 75 mwaka huu 2024.
Mikasa Haikutokea kwao tu kina Deacon bali hata kwenye movie ya Passion of Christ ya 2004, Muandaaji wa hiyo filamu, Mel Gibson alielezea songombingo la namna hiyo, walisitisha kuigiza filamu hiyo kwa siku tatu mfululizo kutokana na radi za mara kwa mara zilizoibuka tu na tetemeko la ardhi, anasema hata Jim Caviezel aliyeigiza kama Yesu alinusurika kuuwawa na radi. Pia alikumbwa na magonjwa mbalimbali ya mapafu ikiwemo Pneumonia, pamoja na kuishiwa joto la mwili. Filamu hiyo iliigizwa huko Italia katika kipindi cha majira ya baridi kali.
During filming, he was struck by lightning, scourged by accident, dislocated his shoulder, and suffered from pneumonia and hypothermia. Prior to filming, Gibson reportedly warned Caviezel that playing Jesus in hisHapo ndipo wanapochanganya na kuona wakristo wanakufuru wakati ni imani tofauti.
YESU NI MUNGU.
Titanic (1997)movie mpaka sasa inayoshikilia rekodi ya Dunia ya kutazamwa mara nyingi na pia inashikili
Ally Hassan Mwinyi na Hussein MwinyiLuka 18
19 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema ila Mungu peke yake.
Yohana 17
3 Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli, nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.
Mathayo 27:46
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
inaonyesha AVATAR ndio inaongozaTitanic (1997)
Unatuagiza tusome Mwanzo afu wewe unaleta Yohana.Soma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
Achana na Titanic... Filamu ya Yesu ya mwaka 1979 ndio inaongoza kwa kutazamwa zaidi DunianiTitanic (1997)
Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.Inategemea na chanzo chako, kuna mahali
inaonyesha AVATAR ndio inaongoza
Weka source inayoonyesha hiyo ni the most watched movie of all the time,Achana na Titanic... Filamu ya Yesu ya mwaka 1979 ndio inaongoza kwa kutazamwa zaidi Duniani
Titanic ilikuwa inashikiliwa record ya filamu yenye mauzo makubwa, ila badae 2010 Movie ya AVATAR ikapindua na kuvunja record ya Titanic na kuifanya AVATAR kuwa ndio filamu yenye mauzo ya juu zaidi.
Jua kutofautisha Filamu kutazamwa zaidi na Filamu kuuza zaidi... Hivyo ni vitu viwili tofauti.
Filamu ya YESU ya mwaka 1979 imetazamwa karibia Duniani kote, na bado inazidi kutizamwa
Subiri waje wakuulize , Mungu anazaliwa ? Mungu anakubali kufa kizembe bila kujitetea?YESU ni MUNGU
Hiyo Mikasa ni ishara ya kuwa hafananishwi na chochote.
Weka source inayoonyesha hiyo ni the most watched movie of all the time,
Alikuwa kwa mungu,sio alikuwa mungu,ninyi walokole mnashida sanaSoma Mwanzo 1:1-14...
Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu..
Fikiria vizuri kabla ya kumuita Yesu kuwa ni Mungu
Mungu anaukuu wa hali ya juu na hafanishwi na kitu chochote!
Alikuwa kwa mungu,sio alikuwa mungu,ninyi walokole mnashida sana
Bora hata wewe unaesema yesu ni mungu wako, sasa kuna wengine hata mungu wao tu hawamjui wanasema wataenda kumuona wakifa, yaani usimuone mungu ukiwa hai then ukamuone ukiwa umezikwa kaburiniYESU ni MUNGU
Hiyo Mikasa ni ishara ya kuwa hafananishwi na chochote.
Kwani wewe mwenzetu Mungu ulimuona wapi?Bora hata wewe unaesema yesu ni mungu wako, sasa kuna wengine hata mungu wao tu hawamjui wanasema wataenda kumuona wakifa, yaani usimuone mungu ukiwa hai then ukamuone ukiwa umezikwa kaburini