Migomo ya Madaktari zao la udhaifu wa Watanzania walio wengi

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Wana JF mgomo wa Madaktari unaorindima na matokea ya udhaifu wa Watanzania walio wengi. Hii ni kutokana na sababu zifutatazo: Serikali ilioyopo kwa sasa ni dhaifu mno, baadhi ya watendaji wake wengi ni dhaifu mno kwa kuwa wanatokana na viongozi dhaifu mno wanaotumia akili dhaifu mno kwa hoja dhaifu zisizo na mashiko. Nahili kama Watanzania wala tusikwepe viongozi hawa dhaifu inaimanisha kuwa Watanzania waliowengi ni dhaifu mno kwa kuwa kundi kubwa limewachagu hawa dhaifu.

Sasa ndugu zangu kwa kuwa sasa wengi wa Watanzania wameshagundua na kutambua udhaifu wetu, tufike mahali tuseme tumeingia choo kisicho, tukubali yaishe mpaka ifike 2015. Nasema hivyo kwa sababu malumbano yale ya bungeni ya jana ni dhahiri kuwa wenzetu hawa waliopewa dhamana hawaelewi na wala hawataelewa matatizo tuliyonayo. Fikiria kiongozi nyumbani kwako kuna matatizo wewe unasafiri kwenda kwenye sherehe badala ya kutuma mwakilishi ili hata kuwatia moyo Watanzania japo kuwa kiuhalisia hauko nao jifanye tu kuwa uko nao, lakini katika msiba wa Kanumba mstari wa mbele,ni sawa na wewe uko nyumbani kwako umealikwa kwenye sherehe kwa bahati mbaya ukaamka asubuhi katoto kako kamepigwa na maleria na joto limepanda, wewe badala ya kukasponji ili kushusha joto ili uweze kupata namna ya kumpeleka hospital wewe unaamua kwenda kwenye sherehe kwanza, akili ya kawaida tu utaonekena hauko sawa.

Ndugu zangu hawa si kosa lao au kuwa wanaroho mbaya kiasi hicho ila wamefikia mwisho wa uwezo wao wa kuona na kupambanua mambo sana sana huko mbeleni watasema mnawaonea wivu au kuingiza udini kwa kuwa hata madhara ya udini kutokana na udhaifu wao hawajui (elastic limit: liwalo na liwe)
 
udhaifu wa JK ndo chanzo cha mgomo ....na watagoma mpka wapishi wake ikulu mwache alete mzaha tu
 
Back
Top Bottom