DUNIANGUMU JR
Member
- Apr 20, 2011
- 43
- 14
Rais mkapa alifanya biashara akiwa ikulu ingawa alikatazwa na baba wa taifa mwalimu nyerere, akauza nyumba za serikali kwa wahindi kwa bei poa huku akiweka 10% mifukoni, ameuza mashirika ya umma, naye akanunua kiwira kwa bei poa, sasa rais wa sasa hivi na kijana wake wanamiriki migodi ya dhahabu kule shinyanga, je kuna ubaya gani kama wakimiriki? mbona Mkapa ana kiwira?