Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Miezi 10 sasa tangu Ben Saanane apotee. UTG tumeshirikiana na vyombo vya dola, taasisi na mashirika ya kiraia ktk juhudi za kumtafuta. Tumetoa full support kwa jeshi la polisi na mamlaka zingine za nchi. Ktk vikao vyetu na vyombo vya dola tulieleza doubts zetu na tukahitaji wazifanyie kazi ili kuziclear.
Walituhakikishia kuwa wangedeal na kila posibility ambayo ingeweza kuleta taarifa ya Ben alipo. But miezi 10 sasa doubts are still there. Vyombo vy...a dola vimeshindwa kuclear hata doubts ndogo tu, eg mtu aliyempigia simu ya vitisho Ben.
TCRA walitoa mawasiliano ya Ben ikiwa ni pamoja na watu waliokua wakimtisha. Polisi wakaahidi kufuatilia na kubaini watu hao. Sasa ni miezi 10 polisi WAMESHINDWA kuwakamata watu hao, wameshindwa hata kuwabaini tu kwamba ni akina nani wakati wamepewa mawasiliano yote na TCRA.
Hiki ni kielelezo kwamba vyombo vyetu vya ndani vimeshindwa kumtafuta Ben. Mara ya mwisho tumeenda makao makuu ya polisi, taarifa tuliyopewa ni kwamba bado wanaendelea na uchunguzi. Miezi 10 ya uchunguzi wameshindwa hata kujua waliokua wanamtisha Ben wakati namba wamepewa na TCRA? Uchunguzi gani huu?
Siingilii kazi za polisi lakini inawezekanaje uchunguzi wa mtu anayekashifu serikali unatumia siku moja ameshakamatwa, lakini mtu aliyemtishia Ben maisha unatumia miezi 10 na bado wameshindwa kumpata?
Na hili ni moja dogo, yapo mengi makubwa kuhusu Ben ambayo polisi waliahidi kuchunguza. Lakini kama hili dogo limewashinda hayo mengine itakuaje?
Tunalipenda jeshi letu la polisi, tunaliheshimu, lakini tunadhani wamefikia kiwango chao cha mwisho cha uchunguzi. Hawawezi tena. Tunawasiliana na wenzetu wa LHRC ili kuomba serikali iruhusu wachunguzi wa kimataifa.
Tuliomba "Observers" kutoka Umoja wa mataifa na wakaonesha interest lakini serikali ikatuambia tusubiri kwanza polisi wamalize uchunguzi wao, kama wakishindwa ndipo tufikirie wachunguzi kutoka nje. Serikali ilituhakikishia tuendelee kuwa na IMANI na jeshi la polisi.
Ni kweli tuna imani na polisi lakini tunadhani uwezo wao ni mdogo kuchunguza suala la Ben. Tutawaomba waweze kudeclare kwamba wameshindwa, ili tupate uhalali wa kuomba wachunguzi wa kimataifa. [HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]!
Walituhakikishia kuwa wangedeal na kila posibility ambayo ingeweza kuleta taarifa ya Ben alipo. But miezi 10 sasa doubts are still there. Vyombo vy...a dola vimeshindwa kuclear hata doubts ndogo tu, eg mtu aliyempigia simu ya vitisho Ben.
TCRA walitoa mawasiliano ya Ben ikiwa ni pamoja na watu waliokua wakimtisha. Polisi wakaahidi kufuatilia na kubaini watu hao. Sasa ni miezi 10 polisi WAMESHINDWA kuwakamata watu hao, wameshindwa hata kuwabaini tu kwamba ni akina nani wakati wamepewa mawasiliano yote na TCRA.
Hiki ni kielelezo kwamba vyombo vyetu vya ndani vimeshindwa kumtafuta Ben. Mara ya mwisho tumeenda makao makuu ya polisi, taarifa tuliyopewa ni kwamba bado wanaendelea na uchunguzi. Miezi 10 ya uchunguzi wameshindwa hata kujua waliokua wanamtisha Ben wakati namba wamepewa na TCRA? Uchunguzi gani huu?
Siingilii kazi za polisi lakini inawezekanaje uchunguzi wa mtu anayekashifu serikali unatumia siku moja ameshakamatwa, lakini mtu aliyemtishia Ben maisha unatumia miezi 10 na bado wameshindwa kumpata?
Na hili ni moja dogo, yapo mengi makubwa kuhusu Ben ambayo polisi waliahidi kuchunguza. Lakini kama hili dogo limewashinda hayo mengine itakuaje?
Tunalipenda jeshi letu la polisi, tunaliheshimu, lakini tunadhani wamefikia kiwango chao cha mwisho cha uchunguzi. Hawawezi tena. Tunawasiliana na wenzetu wa LHRC ili kuomba serikali iruhusu wachunguzi wa kimataifa.
Tuliomba "Observers" kutoka Umoja wa mataifa na wakaonesha interest lakini serikali ikatuambia tusubiri kwanza polisi wamalize uchunguzi wao, kama wakishindwa ndipo tufikirie wachunguzi kutoka nje. Serikali ilituhakikishia tuendelee kuwa na IMANI na jeshi la polisi.
Ni kweli tuna imani na polisi lakini tunadhani uwezo wao ni mdogo kuchunguza suala la Ben. Tutawaomba waweze kudeclare kwamba wameshindwa, ili tupate uhalali wa kuomba wachunguzi wa kimataifa. [HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]!