Miezi 8 sasa, bado anataka nimpe je kuna madhara?

kaka una bahati wewe mshukuru Mungu wako, wenzako mama akiwa na mimba wiki ya tatu tu ugomvi, hataki hata umsalimie kwa kumshika mkono! Wala usimbanie mama, mpe haki yake.

Kuna mchangiaji anasema mtoto atazaliwa mchafu, how jamani? Ina maana huyo mtoto anakuwa wazi tu huko tumboni ukitupia 'wazungu' watamdondokea kichwani? Anyway sababu mi sijui baioloje ngoja ninyamaze
 
fumua kitu kaka tena wakati huu huwa zinakuwa za moto kinoma, ww mwenyewe ukidumbukia utavibrate mara2 tu unaonakitu kinakija chenyewe, duu wenye mimba watam sana
 
Asante sana mamiii, ila nilisikia hiyo kitu husababisha siku ya kujifungua manesi huwa wanaporomosha sana matusi ..eti kisa kwanini ku-do hadi mtoto anachafuka! ni ya kweli hayo au ni myth tu ambazo hutumika kutisha watu wasile raha til last minute?

hata kama wakikutukana kwani hiyo nanihiii ni yao?? achana na manesi, bana, tena naomba nifikishie ujumbe na kwa wale wanaosema wakati wa kunyonyesha hakuna dooooooooooooo, waambie washindweeeeeeeeeeeeeeeeeee¬¬¬¬¬¬¬¬ amen
 
kaka una bahati wewe mshukuru Mungu wako, wenzako mama akiwa na mimba wiki ya tatu tu ugomvi, hataki hata umsalimie kwa kumshika mkono! Wala usimbanie mama, mpe haki yake.

Kuna mchangiaji anasema mtoto atazaliwa mchafu, how jamani? Ina maana huyo mtoto anakuwa wazi tu huko tumboni ukitupia 'wazungu' watamdondokea kichwani? Anyway sababu mi sijui baioloje ngoja ninyamaze

azaliwe mchafu wakati mtoto mwenyewe katengenezwa kwa huo uchafu, mmh, mchungaji ka paramia mashine ya kusaga anafikiri ni trekta
 
Kaka endelea kula tunda hadi wiki mbili kabla tarehe ya kujifingua aliyoandikiwa na daktari

Usimpe style ya mbuzi kagoma maana style hiyo dudu huwa inafika hadi kwenye cervix(mlango wa uzazi) so chagua style kama ya upande aau yeye kukaa juu kujipimia kwa maelezo zaidi google sex in pregnant
Mtoto hawezi chafuka sababu huwa cervix inajifunga kabisa so mtoto hawezi toka
Si kweli mtoto atazaliwa njiti uki doo taratibu
Lakini la msingi ni kupata ushauri wa daktari ambaye anamuudumia ,muende wote ili mpewe ushauri muafaka kulingana na jambo hili,maana mimba huwa zinatofautiana so kwa mambo kama haya ni fresh kutembelea hospital
 
mkuu una bahati tena ya mtende kuota jangwani. mwenzio sasa hivi ana miezi nane, toka ana miezi minne alikata hamu kabisa na si leo tu hata ujauzito wake wa kwanza. kwa hiyo mwenzenu kwanza napigwa mswaki wa wiki mbili yaani sipati kitu baada ya hapo naanza kutongoza upyaaaa yaani two days nitongoze tena kwa ufundi mkubwa na unyenyekevu wa hali ya juu, mwishooooooooni ndo utasikia ufanye haraka lakini nakupa dk mbili. sasa kinachotokea sio dk mbili tena nikimpandisha mzuka anaomba raundi nyingine ila mkimaliza hapo hatakiiii teena mpaka nimtongoze tena mweeee
 
kaka una bahati wewe mshukuru Mungu wako, wenzako mama akiwa na mimba wiki ya tatu tu ugomvi, hataki hata umsalimie kwa kumshika mkono! Wala usimbanie mama, mpe haki yake.

Kuna mchangiaji anasema mtoto atazaliwa mchafu, how jamani? Ina maana huyo mtoto anakuwa wazi tu huko tumboni ukitupia 'wazungu' watamdondokea kichwani? Anyway sababu mi sijui baioloje ngoja ninyamaze

Asante kiongozi, nimekusoma vema mkuu!
 
Ingia tu mtoto atakusaidia kukupa taarifa za ki-intelijensia - "baba leo mbona umeingia bila kuvaa koti la mvua a.k.a rain coat/....m!!!!"
 
mkuu una bahati tena ya mtende kuota jangwani. mwenzio sasa hivi ana miezi nane, toka ana miezi minne alikata hamu kabisa na si leo tu hata ujauzito wake wa kwanza. kwa hiyo mwenzenu kwanza napigwa mswaki wa wiki mbili yaani sipati kitu baada ya hapo naanza kutongoza upyaaaa yaani two days nitongoze tena kwa ufundi mkubwa na unyenyekevu wa hali ya juu, mwishooooooooni ndo utasikia ufanye haraka lakini nakupa dk mbili. sasa kinachotokea sio dk mbili tena nikimpandisha mzuka anaomba raundi nyingine ila mkimaliza hapo hatakiiii teena mpaka nimtongoze tena mweeee


Baada ya kupitia mada za wana J kuanzia maelezo ya mtoa mada (NGOSWE.120) na wengine wote hadi kufikia hii ya Chimuguru, nimeona kwamba wengi wa wana JF hawaamini kuwa kila mimba iko kivyake, na hivyo huigusa afya ya mama, mawazo na matendo yake ki tofauti kati ya mimba na mimba; na kati ya mwana mke na mwanamke. Hivyo kama mkeo ataka tendo la ndoa kuanzia hiyo siku ya kwanza hadi ya mwisho, mpe kwa utashi wenu; na kama hataki msikilize na usilazimishe. Mwanamke siyo chombo cha starehe zenu bali ni mwenzi wa maisha mwenye majukumu yake ya kibailogia yaliyo tofauti na mwanamume. In conclusion, endeleeni na starehe za tendo la ndoa wakati wa ujausito kwa kadri ya matakwa yenu wawili, na mfuate ushauri wa mtaalamu wa afya, na cha msingi mama mjamzito awe na kauri ya mwisho(veto) kuhusu tendo liwepo au lisiwepo!!! Sitaki kusikia utetezi, ati nimemtolea mahari, nitagonga huko nje, shauri yako, mtu mzima hatishiwi nyau!!!!
 
Hujui hiyo miezi ya mwisho mwisho ndiyo wanaweka masikio ya mtoto? Jivunge mwanao aje azaliwe bila masikio sijui utamlalamikia nani.
wakwangu alipokuwa na miezi miwili tu nikaenda masomoni, nimerudi kajifungua siku mingi, ila mtoto ana masikio, unataka kunambia yale masikio nimesaidiwa??
 
Hujui hiyo miezi ya mwisho mwisho ndiyo wanaweka masikio ya mtoto? Jivunge mwanao aje azaliwe bila masikio sijui utamlalamikia nani.

hahahahah lol! Mtoto anaweza kuzaliwa bila masiko siyo? :):):)....Kama daktari wenu hajatia neno basi hakuna lalam yoyote ile nyie endeleeni kufaidi uroda mpaka dakika za mwisho lakini usiongeze maujuzi :) kupita kiasi iwe ni aste aste tu :):)
 
Asante sana mamiii, ila nilisikia hiyo kitu husababisha siku ya kujifungua manesi huwa wanaporomosha sana matusi ..eti kisa kwanini ku-do hadi mtoto anachafuka! ni ya kweli hayo au ni myth tu ambazo hutumika kutisha watu wasile raha til last minute?
maneno tu hayo mkuu..mie nimetoka na wangu juzi muhimbili anatimiza wiki ya 32 nw manesi wamenishauri nimpe ahadi ya ndoa hata kama imebaki dakika 2 za kujifungua
 
Usipuuze kwenda clinick na mama kwa ajili ya vipimo mkuu ni kwa usalama wa kiumbe kilichopo tumboni, U neva knw kama kunatatizo itawasaidia madaktari/wakunga kuchukua precautions mapema kumnusuru mtoto na matatizo ya kiafya ya wazazi...hii ni muhimu kama una mapenzi ya dhati na mwanao mtarajiwa
 
Back
Top Bottom