NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Wana jamvi, heshima yenu wakuu.
Nina mpenzi wangu ana mimba ya miezi 8 kwa sasa after two weeks ataanza mwezi wa tisa, lakini bado anataka yale mambo matamu ya kupeana raha ndani ya 6 x 6.
1. Je niendelee kumpa dude yake aleee kwa raha zake kadiri atakavyo?
1. Je hakuna madhara ya ku do wakati mimba imezidi miezi zaidi ya saba?
Natanguliza shukrani kwa maoni yenu.
Mungu awabariki sana!
Nina mpenzi wangu ana mimba ya miezi 8 kwa sasa after two weeks ataanza mwezi wa tisa, lakini bado anataka yale mambo matamu ya kupeana raha ndani ya 6 x 6.
1. Je niendelee kumpa dude yake aleee kwa raha zake kadiri atakavyo?
1. Je hakuna madhara ya ku do wakati mimba imezidi miezi zaidi ya saba?
Natanguliza shukrani kwa maoni yenu.
Mungu awabariki sana!