Mmeku Tukulu
Member
- Feb 11, 2012
- 92
- 27
Katika uchaguzi 2010 Tanzania
tulishuhudia CCM wakiikimbia midahalo
iliyokuwa inaendeshwa TBC na hata
kuwakataza wagombea wao kushiriki.
Midahalo hii ni fursa muhimu kwa
wananchi na upatikanaji wa viongozi bora.
Wana jamii mnaonaje swala hili lisiwe tena
la kihiyari bali la lazima na liwekwe
kwenye katiba?
tulishuhudia CCM wakiikimbia midahalo
iliyokuwa inaendeshwa TBC na hata
kuwakataza wagombea wao kushiriki.
Midahalo hii ni fursa muhimu kwa
wananchi na upatikanaji wa viongozi bora.
Wana jamii mnaonaje swala hili lisiwe tena
la kihiyari bali la lazima na liwekwe
kwenye katiba?