chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,735
We jamaa hata huijui Microsoft bora unyamaze, windows inachangia asilimia 12 tu ya Microsoft, hii kampuni ina mambo Kibao hardware za Gaming kama Xbox, inatengeneza Games zake kibao kama Minecraft, Halo, Age of empire etc,
Pia Oracle ni kampuni ya 3 duniani kwa software, Nyuma ya IBM na Microsoft, sasa Microsoft kampuni ya kwanza Duniani kwa Software ila imeshindwa kujikita na inapitwa na kampuni ya 3?
Na Star X hana Changamoto na Satelite nyengine, sababu wapo wachache kwenye low orbit satelite, usimix low orbit na traditional satelite,
Star x competitors wake ni Fiber na Mobile internet kama 5G.
Umeleta mengine tunaongea mengine