Microsoft kuleta intaneti kwa mamilioni ya Watu Afrika kupitia satelaiti

We jamaa hata huijui Microsoft bora unyamaze, windows inachangia asilimia 12 tu ya Microsoft, hii kampuni ina mambo Kibao hardware za Gaming kama Xbox, inatengeneza Games zake kibao kama Minecraft, Halo, Age of empire etc,

Pia Oracle ni kampuni ya 3 duniani kwa software, Nyuma ya IBM na Microsoft, sasa Microsoft kampuni ya kwanza Duniani kwa Software ila imeshindwa kujikita na inapitwa na kampuni ya 3?

Na Star X hana Changamoto na Satelite nyengine, sababu wapo wachache kwenye low orbit satelite, usimix low orbit na traditional satelite,

Star x competitors wake ni Fiber na Mobile internet kama 5G.

Umeleta mengine tunaongea mengine
 
Umeleta mengine tunaongea mengine
Azure na kinachoongelewa hapa vinahusiana 100% unless hujui Azure ni nini.

Edit kuongezea
Anaeleta hii internet ni Viasat na sio Microsoft mwenyewe, ila Azure ndio itapower hii satelite.

Na sio Viasat tu hizo Space X za Elon na satelite nyengine nyingi huko Angani zipo powered na Azure kama Ksat na Kratos.
 
Sio zote ila hisa zake zilizobakia ni kidogo tunaongelea kama 1% hivyo hayupo kwenye Bodi wala wamiliki wakubwa hana decision yoyote kuhusu Microsoft. Gate siku hizi hela nyingi anazo kama Cash hana time na Utajiri.
Mpaka juzijuzi alikuwa kwenye top za matajiri kipi kilikuwa kinamuweka pale
 
kuna watu wanafikiria jambo jepesi sana. kuna kampuni na uwezo wao wote wakutengeneza ndege na meli ila wanatemgea rolls royce watengenezewe injini.

Hata hiyo starx ya elon bado inachangamoto zake kushindana na makampuni makubwa ya setelite.

kama unabisha hiyo microsoft mbona kashindwa kujikita kwenye mifumo kama ORACLE,CISCO na n.k sababu sio part yake abaki tu na kuendeleza OS na mifumo ya microsoft
Economies of Scale and Comparative Advantage
 
Back
Top Bottom