Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,451
- 25,605
Huwa nasikiaga michuzi michuzi hatasielewi ni nini hasa.
Hebu nijuzeni.
Hebu nijuzeni.
we acha tu...sie wa kima cha chini tunaowekaga ka data bundle ka manati huwa hatugusi huko amasivyo kanayeyuka instantly...!blog imejaa picha za hovyohovyo na ukiitembelea bandwidth yako itajuta.
Michuzi blog ni jukwaa ambalo halikosi kutoa habari inayohus Chama cha Mapinduzi. Lakini leo tangu kupatikana kwa habari ya Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha Ndugu Malya, Michuzi blog haijaweza kueleza taarifa yoyote kuhusiana. Sidhani kama ni kweli hajaweza kupata taarifa hii, ama huwa anaripoti zile habari zenye tija kwa Chama cha Mapinduzi. Jamani, kwa wale ambao wapo karibu na Ankali Issa Michuzi, mpeni tarifa hii ili awahabarishe wanajukwaa wake.
Kwa hiyo huwa mnaingia kwake kwenda kubalance ?! Umbea wa kiume huo @ Lyimo !Sijawai Kuona Blog ya Hovyo kama hii katika Maisha Yangu!! Hii ni ya Kwanza!! He is so Biased and segregative Shame on him Poor Michuzi na wanaopoteza Muda Kuweka Matangazo!!
Rosti maini kwa biriani hapo ndipo unapata Michuzi.Huwa nasikiaga michuzi michuzi hatasielewi ni nini hasa.
Hebu nijuzeni.