Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Michuzi blog ni jukwaa ambalo halikosi kutoa habari inayohus Chama cha Mapinduzi. Lakini leo tangu kupatikana kwa habari ya Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha Ndugu Malya, Michuzi blog haijaweza kueleza taarifa yoyote kuhusiana. Sidhani kama ni kweli hajaweza kupata taarifa hii, ama huwa anaripoti zile habari zenye tija kwa Chama cha Mapinduzi. Jamani, kwa wale ambao wapo karibu na Ankali Issa Michuzi, mpeni tarifa hii ili awahabarishe wanajukwaa wake.