Mda mwingine mwita kama mtu vile sema konyagi zikipanda kichwani balaa.Kibonde anakauka koo tu kwa kubwabwaja tu kwenye Radio ya wafu wakati wenzake wanakula mashavu kudadadeki.
Kibonde anakauka koo tu kwa kubwabwaja tu kwenye Radio ya wafu wakati wenzake wanakula mashavu kudadadeki.
Hii imekaaje? Mpinga picha ameteuliwa kuwa mwandishi wa habari?
Taarifa nilizozipata zinasema yule mpiga picha wa Daily News (ukipenda Daily Noise) Muhidin Issa Michuzi, ameteuliwa kuwa mwandishi wa habari msaidizi wa Rais.
Haijulikani kama Premi Kibanga atabaki kuwa mwandishi msaidizi wa rais pia ama atapanda na kuwa mwandishi mkuu wa rais maana hadi sasa hakuna mwandishi mkuu wa rais aliyeteuliwa rasmi.
Salva yeye ni mkurugenzi wa mawasiliano ingawa mara nyingi hufanya kazi kama mwandishi mkuu wa rais. USINIULIZE SOURCE TAFADHALI!
Hii imekaaje? Mpinga picha ameteuliwa kuwa mwandishi wa habari?
Mpiga picha wa Rais ni Freddy Maro tangu enzi za Mkapa. Tulipofika haijalishi nani anateuliwa kuwa nani maana hakuna tunalolitegemea zaidi ya kubadilika kwa maisha ya wateuliwa!Inamaana hakuna mpiga picha wa rais kama alivyo Peter souzza Kwa Obama?.....kama hakuna basi huyu atafaa
Siwezi kushangaa sababu safari nyingi za JK za Ulaya na Marekani uwa anasafiri na Michuzi