nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 799
Nahitaji ila vipimo ni mita au futi na lipo vikindu sehemu gani na bei mauzo ni ngapikuulizia miche bila eneo la kupanda nalo tatizo mm naitaji nina kaeneo kangu vikindu sina uwezo wa kujenga bora nipande hata miche. 15 kwa yeyote ambae anaitaji kaeneo ukubwa wa kawaida square meter 60 anicheki kwa pivate massage naweza kumsaidia bei kuanzia 3ml