gay are naturally born people just like albino, you and me!!!! they are God people just like everybody so there is nothing to be suprised about for someone to be gay!!!
Napata mashaka na wewe
gay are naturally born people just like albino, you and me!!!! they are God people just like everybody so there is nothing to be suprised about for someone to be gay!!!
Infact sheria zinaweka kwa sababu huwa kuna "remote possibility" ya sheria zenyewe kuvunjwa.Ideally kama jamii ingekuwa haitegemei makosa basi pasingekuwa na haja ya kuwa na sheria in the first place!Kwa mfano..swala la kujiua au jaribio la kujiua ni kosa kisheria..why ilhali mtu anataka kutoa uhai wake mwenyewe?Lakini waliokuja na sheria hii wali preempty hii ishu ya kujiua!walijua either through experience au intuition kwamba kuna watu tu watataka kujiua....wakati mwingine ni ishu za morality tu kuweka sheria hizi.Umetumia lugha ambayo nadhani EMT atakuelewa zaidi.Sheria kuwepo haina maana haitavunjwa.Nadhani kama tunavyopenda kukopi sera za wazungu basi tukopi hii sheria ya Russia.
Umetumia lugha ambayo nadhani EMT atakuelewa zaidi.Sheria kuwepo haina maana haitavunjwa.Nadhani kama tunavyopenda kukopi sera za wazungu basi tukopi hii sheria ya Russia.
Mambo ya kawaida ndo maisha yake alioyachagua.. Being gay is not a life threat...
Regards,
Jonathan.
Wakati mwingine hata draconian laws hazisaidii ku-deal na social vices kama matumizi,uzalishaji,uuzaji na uingizizaji wa dawa za kulevya.Tuchukulie mfano wa Mainland China....adhabu ya wahalifu wanaoingiza au kutoa dawa za kulevya ni kifo.Lakini watu bado wanapeleka mzigo China!Lakini pili ,bado China imekuwa chanzo kikuu cha precusor chemicals (kemikali zitumikazo kutengeneza compound nyingine)zitumikazo kutengenezea madawa kama Cocain,heroin,methamphetamine nkPamoja na sheria kali za Uchina bado tatizo la madawa ya kulevya ni kubwa. Kwa maoni yangu sii ukali au udahifu wa sheria bali moral education....Nchi za kiarabu zina maambukizi madogo sana ya ukimwi..why?kwa maoni yangu mafundisho/na (sii sheria) ya dini yao yameshikwa sana na watu huko!It is useless kuweka sheria kuzuia hivyo vitendo passively. Ni unafiki.
Hakuna haja ya kuwa na sheria, if you can't enforce it. Passive laws are useless.
Nimeuliza hapo juu si kuna sheria dhidi ya vitendo vya ushoga?
Lakini pamoja na hiyo sheria mbona ushoja umeenea kona zote za nchi?
Because of passive laws, isn't it?
gay are naturally born people just like albino, you and me!!!! They are god people just like everybody so there is nothing to be suprised about for someone to be gay!!!
sipati picha jinsi madem wengi walivyokua disapointed.
acha tu..
i cant believe those beautiful abs zinashikwa na a man!aaaaarrgh
i hope ni uongo:love:
Wakati mwingine hata draconian laws hazisaidii ku-deal na social vices kama matumizi,uzalishaji,uuzaji na uingizizaji wa dawa za kulevya.Tuchukulie mfano wa Mainland China....adhabu ya wahalifu wanaoingiza au kutoa dawa za kulevya ni kifo.Lakini watu bado wanapeleka mzigo China!Lakini pili ,bado China imekuwa chanzo kikuu cha precusor chemicals (kemikali zitumikazo kutengeneza compound nyingine)zitumikazo kutengenezea madawa kama Cocain,heroin,methamphetamine nkPamoja na sheria kali za Uchina bado tatizo la madawa ya kulevya ni kubwa. Kwa maoni yangu sii ukali au udahifu wa sheria bali moral education....Nchi za kiarabu zina maambukizi madogo sana ya ukimwi..why?kwa maoni yangu mafundisho/na (sii sheria) ya dini yao yameshikwa sana na watu huko!
...Law is not a solution to every problem. Kama morals zimeshuka, hata hata ukileta sheria sidhani kama itasaidia sana especially where the law is not even rigorously enforced.
Umerudi kwenye hoja yangu kwenye hii thread ambapo nimesema kuwa
Ila sheria nazo zina umuhimu wake!
Mkuu wengi tulivyompa heshima huyu jamaa katuangusha sana lakini wanawake ndio zaidi!!!
Sasa yule Michael Scofield wa JF inakuwaje naye?
Genius always do the silly things wanasema