MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,491
- 20,457
Leo asubuhi nilikuwa naangalia tv moja ya Korea kusini nilishangazwa na maendeleo hafifu ya hawa jamaa na nilipoangalia historia nikakuta kumbe miaka ya Uhuru tulikuwa karibu sawa.
Wakati Tanzania tumepiga hatua kubwa kiasi hiki wao bado wamelala usingizi mzito.
Sisi tunatengeneza Magari, electronics, kilimo uhakika wao bado wanajivuta.
Wataalamu wa uchumi,shida ni Nini kwa hawa ndugu zetu?
Wakati Tanzania tumepiga hatua kubwa kiasi hiki wao bado wamelala usingizi mzito.
Sisi tunatengeneza Magari, electronics, kilimo uhakika wao bado wanajivuta.
Wataalamu wa uchumi,shida ni Nini kwa hawa ndugu zetu?