Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika; Chadema wamefanya nini cha Maendeleo?

shykwanza

Senior Member
Nov 28, 2011
156
30
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.
 
Chadema ilishawahi kupita hata kwenye mtaa wako kukusanya kodi hata shilling mia?
 
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.

Wamefunua uozo CCM na serikilini na sasa CCM wanavuana magamba! Wameshinikiza kuandikwa kwa katiba mpya na sasa tuko kwenye mchakato japo CCM wanaonekana kufanya hila lakini mchakato upo. Kubwa zaidi wamewapa wananchi ujasiri wa kupambana na uongozi dhalimu. Maendeleo ya nchi yataletwa na wananchi wenyewe na ili iwe hivyo ni muhumi wananchi wakawa na ujasiri/mamlaka katika uongozi. CHADEMA wanafanya hilo kwa ufanisi wa hali ya juu.

Tukumbuke CHADEMA wamekuwa chama kikuu cha upinzani kwa mwaka mmoja tu, kabla ya hapo ni CUF waliokaa kwenye nafasi hiyo kwa zaidi ya miaka 10! Pengine tujiulize CUF wamefanya nini wakati wakiwa cham kikuu cha upinzani?
 
Chadema ilishawahi kupita hata kwenye mtaa wako kukusanya kodi hata shilling mia?
changia hoja Chadema wamefanya nini cha Maendeleo kwa taifa hili katika kipindi cha miaka 50 na si kuleta ushabiki wa kichama kwani tunataka kujenga taifa letu na sio kubomoa.
 
miaka 50 ya huruma kwa wawekezaji CHADEMA C MAFISADI, C WAPENDA RUSWA, WANA UTU, WAPENDA NCHI YAO, WAMETAJA MAFISADI. WANAWATETEA WANANCHI
yaani yapo mengi mno.
 
Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika cha maana Chadema walichofanya ni maandamano na matamko yasikuwa na tija kwa taifa
 
Swali lako linafaa kuuliza vya hivi vimefanya nini miaka 50
1. CCM
2. CHADEMA
3. CUF
4. TLP
5. NCCR
Hapo utapata jibu unalolitafuta, otherwise!!!!!!!!!!!??????????????
 
Wamefunua uozo CCM na serikilini na sasa CCM wanavuana magamba! Wameshinikiza kuandikwa kwa katiba mpya na sasa tuko kwenye mchakato japo CCM wanaonekana kufanya hila lakini mchakato upo. Kubwa zaidi wamewapa wananchi ujasiri wa kupambana na uongozi dhalimu. Maendeleo ya nchi yataletwa na wananchi wenyewe na ili iwe hivyo ni muhumi wananchi wakawa na ujasiri/mamlaka katika uongozi. CHADEMA wanafanya hilo kwa ufanisi wa hali ya juu.

Tukumbuke CHADEMA wamekuwa chama kikuu cha upinzani kwa mwaka mmoja tu, kabla ya hapo ni CUF waliokaa kwenye nafasi hiyo kwa zaidi ya miaka 10! Pengine tujiulize CUF wamefanya nini wakati wakiwa cham kikuu cha upinzani?
Kwa ufahamu wako hayo ndio maendeleo Watanganyika wanayoyataka kutoka CDM; kweli vyama vya siasa sio msingi wa maendeleo ya Taifa bali ni kambi ya majambazi ya CCM na CDM kupanga mbinu za wizi kwa rasilimali za Watanzania
 
katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika egypt na tunisia. Viongozi wa chadema katika miaka 50 ya uhuru wamefanya nini cha maendeleo kwa taifa letu cha kukumbukwa na watanganyika ? Nini leo chadema wanaweza kuwaeleza wananchi wamefanya katika miaka 50 ya uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha maendeleo wanapaswa kulaumiwa na watanganyika.

mkuu chedema ilikwepo tangia uhuru?
Je chadema wanakusanya kodi?

Unashindwa kuleta mambo yenye tija kwa taifa unaleta u nge se nge tu hapa. Hao wanao kusanya kodi wameisha kuambia wamefanya nini?
 
Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika cha maana Chadema walichofanya ni maandamano na matamko yasikuwa na tija kwa taifa

@ritz, mwaka mmoja tu tangu CHADEMA wawe chama kikuu cha upinzani mimi na wewe tunaongea kuhusu Tanganyika tena bila woga! Jana kwenye taarifa ya habari TBC1 mtangazaji alikuwa anatumia Tanganyika na sio Tanzania Bara! Wote tunajua TBC iko kwa ajili gani. Wakati mwingine tunajisahau CHADEMA wamefanya nini.
 
mkuu chedema ilikwepo tangia uhuru?
Je chadema wanakusanya kodi?

Unashindwa kuleta mambo yenye tija kwa taifa unaleta u nge se nge tu hapa. Hao wanao kusanya kodi wameisha kuambia wamefanya nini?
Je hao wanaofanya maandamano na migomo isiyo na tija umeshathubutu kuwauliza wamefanya nini kwa Taifa letu au wanafanya hayo kwa masilahi yao;
 
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.

msingeiba kura mwaka jana na kuipa chadema nchi leo hii mngeona nini CDM wamefanya ndani ya mwaka mmoja. ambacho kingefanyika in one year kingekuwa kikubwa kuliko kilichofanywa na magamba ndani ya miaka 50.
 
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.

Kwanza ungetueleza CHADEMA walihitajika kufanya nini ndo uulize kama wamefanya au la? Baada ya kusoma maelezo yako nimejiuliza sana hatimaye nikajilizisha kwamba umelata hoja/maswali ya kitoto sana, ni wazi kuwa chadema inakutisha na inakunyima usingizi (sijui ni kwa nini?)
 
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.

mi nafikiri ubongo wako umejaa kinyesi n siyo akili chadema imeshashika dola?anyways nenda kwenye majimbo yaliyoshikwa n chadema e.g karatu utaona wamefanya nini isitoshe chadema wamekufanikishia kukuletea katiba mpya hao hao chadema wamekutajia wala nchi (mafisadi) serikali yako yakipuuzi imeshindwa kuwachukulia hatua mpaka leo hii watuhumiwa wote sasa we ulitaka ikufanyie nini tena?ikutafutie mke n kukuzalishia watoto?poor you
 
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.

Hoja dhaifu inahitaji majibu dhaifu! Elimu yako ni ya kiwango gani? Maana hata mgonjwa wa akili ananafuu
 
Mimi ninafikiri MODS inabidi waanzishe utaratibu wa kufanya IQ test kabla ya kujiunga JF.

Kwasababu uwezo wa kufikiri na kutafakuri ulioneshwa na ShyKwanza it is beyond comprehension.
I'm afraid s/he is in a wrong forum. IQ test itatusaidia ku-filter watu wa aina hii.

MODS, I beg to move
 
Back
Top Bottom