sokolaboro
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 313
- 54
wameleta upinzani wa kweli thithiem inawaogopa. hapo kabla ya CDM thithiem ilikuwa haiogopi kitu. through cdm tanganyika inarudi.
Unaposema fikiria kabla na sio kujiandikia tu. Chadema italetaje maendeleo kama sio chama tawala?, Chadema inakusanya kodi, chadema inasimamia madini. n.kKatika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.
Maandamano yasiyo na tija na wamefanikiwa kufika Ikulu kupata kikombe cha chai na glasi ya juisi na mheshimiwa wanayemsusia hotuba zake kwa madai kwamba hakushinda Urais.Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.
Kwa ufahamu wako hayo ndio maendeleo Watanganyika wanayoyataka kutoka CDM; kweli vyama vya siasa sio msingi wa maendeleo ya Taifa bali ni kambi ya majambazi ya CCM na CDM kupanga mbinu za wizi kwa rasilimali za Watanzania
Maandamano yasiyo na tija na wamefanikiwa kufika Ikulu kupata kikombe cha chai na glasi ya juisi na mheshimiwa wanayemsusia hotuba zake kwa madai kwamba hakushinda Urais.
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Uhuru, hebu tujiulize chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimefanya nini cha msingi kwa taifa la Tanzania ukiondoa maandamono ambayo yameshindwa kuleta ukombozi wa kweli kama maandamano yaliyofanyika Egypt na Tunisia. Viongozi wa Chadema katika miaka 50 ya Uhuru wamefanya nini cha Maendeleo kwa Taifa letu cha kukumbukwa na Watanganyika ? nini leo Chadema wanaweza kuwaeleza Wananchi wamefanya katika miaka 50 ya Uhuru? Kama wamefanikiwa kuwa chachu ya maendeleo tunawapongeza sana lakini kama hawajafanya kitu cha Maendeleo wanapaswa kulaumiwa na Watanganyika.
Wamefunua uozo CCM na serikilini na sasa CCM wanavuana magamba! Wameshinikiza kuandikwa kwa katiba mpya na sasa tuko kwenye mchakato japo CCM wanaonekana kufanya hila lakini mchakato upo. Kubwa zaidi wamewapa wananchi ujasiri wa kupambana na uongozi dhalimu. Maendeleo ya nchi yataletwa na wananchi wenyewe na ili iwe hivyo ni muhumi wananchi wakawa na ujasiri/mamlaka katika uongozi. CHADEMA wanafanya hilo kwa ufanisi wa hali ya juu.
Tukumbuke CHADEMA wamekuwa chama kikuu cha upinzani kwa mwaka mmoja tu, kabla ya hapo ni CUF waliokaa kwenye nafasi hiyo kwa zaidi ya miaka 10! Pengine tujiulize CUF wamefanya nini wakati wakiwa cham kikuu cha upinzani?
wameleta upinzani wa kweli thithiem inawaogopa. hapo kabla ya CDM thithiem ilikuwa haiogopi kitu. through cdm tanganyika inarudi.
changia hoja Chadema wamefanya nini cha Maendeleo kwa taifa hili katika kipindi cha miaka 50 na si kuleta ushabiki wa kichama kwani tunataka kujenga taifa letu na sio kubomoa.