Miaka 50 ya Uhuru na Nembo ya Taifa iliyochakachuliwa

GHOST RYDER

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
1,025
475
tanzania_emblem.jpg View attachment 34967 Nembo 3.jpg 306px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png


Nimevutiwa na dukuduku hili nililolifumania jana likitafutiwa ufumbuzi na mamlaka husika bila kupata jibu nikaamua kujaribu kutafuta ukweli wake mwenyewe kwa niliyoyasikia kwa kulinganisha ya ukweli wak ama ni hofu tu kwa mjadala niliousikia.

Kibo kya ndesi, Huwezi kuamini tunasherehekea miaka 50 ya uhuru na nembo za kutosha tu. Sasa ipi ni ipi, Viongozi wenye mamlaka hili wanalijua zaidi yetu...tuuite uzembe, uchakachuaji , ubadhilifu, uhujumu au kukosa umakini kulikopitiliza kwa wasimamizi wa mamlaka husika.

Bado nashindwa kujua mintarafu ya huu mkanganyiko, ni kwamba hili limefanyika kwa makusudi, ubunifu wa watanzania au ujanja ujanja ujanja wa kurahisisha mambo, huu ni msalaba mwingine kwa serikali.


Kibaya nembo zote zinatumika katika machapisho mbalimbali ya serikali hata katika wavuti za ofisi kadhaa za viongozi wa serikali wanaokwenda na nguvu ya kiteknolojia nao kila mmoja katika wavuti ya ofisi yake ana nembo ya aina yake kuanzia ofisi ya Rais, waziri Mkuu hadi mawaziri wengine...Aaah Tanzania.


Zichunguze kwa makini hizo nembo hapo juu uone watanzania tulipofikia sasa.


Wabunge huko mjengoni hebu tutafutieni majibu kwa waziri husika, kama hawa jamaa wa jana nilivyokuwa nawasikia wakirushiana mpira na kila mmoja akionekana kushangaa na macho pima kama mjusi aliyebanwa na mwango,


ADIOS
 
namba mbili inaonekana kuwa sahihi kuliko zote, ila namba moja na nne ni wazi zimechakachuliwa sio kabisa, namba tatu pia kuna utata nkumbwa
 
Tatizo sio matumizi ya nendo hiyo tatizo nani anadhibiti viwango na ubora [Quality and Standard] haswa kwenye vitu ambavyo ndio alaama ya Taifa kama Nendo na Bendera ya Taifa.Linapaswa kuwa ni jukumu la Serikali kuakikisha na kutamka lasmi kwa kuonyesha na kuthibitisha aina maalumu na muhimu kutumika.

hAKIKA WAHUSIKA WACHUKU HATUA.Ni sawa na ukimilki gari ukawa unazarau maerekebisho madogomadogo gharama ya kulihudumia kuna siku itakuwa kubwa sana.
 
View attachment 34966View attachment 34967View attachment 34968View attachment 34969


Nimevutiwa na dukuduku hili nililolifumania jana likitafutiwa ufumbuzi na mamlaka husika bila kupata jibu nikaamua kujaribu kutafuta ukweli wake mwenyewe kwa niliyoyasikia kwa kulinganisha ya ukweli wake hasa ama ni hofu.

Kibo kya ndesi, Huwezi kuamini tunasherehekea miaka 50 ya uhuru na nembo za kutosha tu sasa ipi ni ipi, Viongozi wenye mamlaka hili wanalijua zaidi yetu...tuuite uzembe, uchakachuaji , ubadhilifu, uhujumu au kukosa umakini kulikopitiliza kwa wasimamizi wa mamlaka husika.

Bado nashindwa kujua mintarafu ya huu mkanganyiko, ni kwamba hili limefanyika kwa makusudi, ubunifu wa watanzania au ujanja ujanja ujanja wa kurahisisha mambo, huu ni msalaba mwingine kwa serikali.


Kibaya nembo zote zinatumika katika machapisho mbalimbali ya serikali hata katika wavuti za ofisi kadhaa za viongozi wa serikali wanaokwenda na nguvu ya kiteknolojia nao kila mmoja katika wavuti ya ofisi yake ana nembo ya aina yake kuanzia ofisi ya Rais, waziri Mkuu hadi mawaziri wengine...Aaah Tanzania.


Zichunguze kwa makini hizo nembo hapo juu uone watanzania tulipofikia sasa.


Wabunge huko mjengoni hebu tutafutieni majibu kwa waziri husika, kama hawa hapa jana nilivyokuwa nawasikia wakirushiana mpira kama kushangaa kama mjusi macho pima kama mjusi kabanwa na mwango,


ADIOS

Sasa ndugu yangu unashangaa nini? Uhuru wenyewe tunaousherehekea umechakachuliwa. Nasikia wanasema mpaka kwenye vyombo vya habari kuwa tunaadhimisha uhuru wa TANZANIA wakati wote tunajua kuwa huu ulikuwa ni uhuru wa TANGANYIKA ambayo kwa sasa ni marehemu.
 
namba mbili inaonekana kuwa sahihi kuliko zote, ila namba moja na nne ni wazi zimechakachuliwa sio kabisa, namba tatu pia kuna utata nkumbwa

Mie mwenyewe naitzama namba mbili kama sahihi zaidi licha ya kuwa sijafanya upembuzi kubaini ni feature zipi zinazounda nembo zetu kwa usahihi

Kitu ambacho nakiona kwa haraka zaidi katika Nembo hizi natambua kuwa huwa Kuna PAMBA na KARAFU kama mazao wakilishi ya Biashara kwa Tanzania bara na visiwani. Lile logo namba moja lina maua yasiyojulikana ni mmea gani hiyo dosari namba moja,

Huwezi kuamini hata sijamaliza kupost huu mtazamo hilo Logo namba moja naliona hapa katika Tangazo la Malaria haikubailiki TBC, sasa lenyewe ndio sahihi ama vipi? Lakini mbona karafuu hakuna na Pamba au ndio maboresho ya KERO ZA MUUNGANO????????????
 
Sasa ndugu yangu unashangaa nini? Uhuru wenyewe tunaousherehekea umechakachuliwa. Nasikia wanasema mpaka kwenye vyombo vya habari kuwa tunaadhimisha uhuru wa TANZANIA wakati wote tunajua kuwa huu ulikuwa ni uhuru wa TANGANYIKA ambayo kwa sasa ni marehemu.

Nashangaa hizi logo kamanda, we umezitazama vema?
 
Tatizo sio matumizi ya nendo hiyo tatizo nani anadhibiti viwango na ubora [Quality and Standard] haswa kwenye vitu ambavyo ndio alaama ya Taifa kama Nendo na Bendera ya Taifa.Linapaswa kuwa ni jukumu la Serikali kuakikisha na kutamka lasmi kwa kuonyesha na kuthibitisha aina maalumu na muhimu kutumika.

hAKIKA WAHUSIKA WACHUKU HATUA.Ni sawa na ukimilki gari ukawa unazarau maerekebisho madogomadogo gharama ya kulihudumia kuna siku itakuwa kubwa sana.

Na hizi ni ambazo nimeziona haraka kwa kuzilinganisha chache kuna uwezekano kuwa zipo nyingi zaidi ya hizi na zote zinatumika, taratibu zile alama za msingi katika nembo ya Taifa zinatoweka, Uhalisia wake unatoweka.

Haki ya Mungu tutakuwa na kila kitu artificial katika Taifa hili tusipoangalia kama tulivyo na historia yenye viraka ya uhuru wetu. mambo ya msingi na ya kweli kabisa yamezibwa viraka.
 
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
tanzaniatanzaniatanzaniatanzania
 
Nembo sahihi ni hiyo namba mbili. Kwa bahati mbaya sana nembo namba moja ndiyo inayotumika zaidi katika wizara nyingi. Katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba nyaraka zinazotoka ofisi ya Mchapaji Mkuu wa Serikali tu ndizo zina consistence ya nembo, wanatumia nembo namba mbili. Tembelea duka lao la vitabu pale Jamhuri Str.
 
namba mbili mimi ndiyo niliyo izowea,duu nembo za kichina nyingi sana wakubwa
 
Sasa ndugu yangu unashangaa nini? Uhuru wenyewe tunaousherehekea umechakachuliwa. Nasikia wanasema mpaka kwenye vyombo vya habari kuwa tunaadhimisha uhuru wa TANZANIA wakati wote tunajua kuwa huu ulikuwa ni uhuru wa TANGANYIKA ambayo kwa sasa ni marehemu.

Great thinking and reasoning!!!
 
<font color="#33cc33"><b>tanzaniatanzaniatanzani</b></font><b><font color="#33cc33">a</font><font color="#ffff00">ta</font></b><b><font color="#ffff00">n</font>zania</b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzaniatanzaniatanza</b></font><b><font color="#ffff00">ni</font></b><b><font color="#ffff00">a</font>tanzania</b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzaniatanzaniata</b></font><b><font color="#ffff00">nz</font></b><b><font color="#ffff00">a</font>niatanza<font color="#ffff00">nia</font></b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzaniatanzani</b></font><b><font color="#ffff00">at</font></b><b><font color="#ffff00">a</font>nzaniata<font color="#ffff00">nza</font><font color="#0000ff">nia</font></b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzaniatanz</b></font><b><font color="#ffff00">an</font></b><b><font color="#ffff00">i</font>atanzani<font color="#ffff00">ata</font><font color="#0000ff">nzania</font></b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzaniat</b></font><b><font color="#ffff00">an</font></b><b><font color="#ffff00">z</font>aniatanz<font color="#ffff00">ani</font><font color="#0000ff">atanzania</font></b><br />
<font color="#33cc33"><b>tanzan</b></font><b><font color="#ffff00">ia</font></b><b><font color="#ffff00">t</font>anzaniat<font color="#ffff00">anz</font><font color="#0000ff">aniatanzania</font></b><br />
<font color="#33cc33"><b>tan</b></font><b><font color="#ffff00">za</font></b><b><font color="#ffff00">n</font>iatanzan<font color="#ffff00">iat</font><font color="#0000ff">anzaniatanzania</font></b><br />
<font color="#ffff00"><b>ta</b></font><b><font color="#ffff00">n</font>zaniatan<font color="#ffff00">zan</font><font color="#0000ff">iatanzaniatanzania</font></b><br />
<b>tanzania<font color="#ffff00">tan</font><font color="#0000ff">zaniatanzaniatanzania</font></b><br />
<b>tanza<font color="#ffff00">nia</font><font color="#0000ff">tanzaniatanzaniatanzania</font></b>
<br />
<br />
Very creative, kudos mkuu
 
View attachment 34966View attachment 34967View attachment 34968View attachment 34969


Nimevutiwa na dukuduku hili nililolifumania jana likitafutiwa ufumbuzi na mamlaka husika bila kupata jibu nikaamua kujaribu kutafuta ukweli wake mwenyewe kwa niliyoyasikia kwa kulinganisha ya ukweli wak ama ni hofu tu kwa mjadala niliousikia.

Kibo kya ndesi, Huwezi kuamini tunasherehekea miaka 50 ya uhuru na nembo za kutosha tu. Sasa ipi ni ipi, Viongozi wenye mamlaka hili wanalijua zaidi yetu...tuuite uzembe, uchakachuaji , ubadhilifu, uhujumu au kukosa umakini kulikopitiliza kwa wasimamizi wa mamlaka husika.

Bado nashindwa kujua mintarafu ya huu mkanganyiko, ni kwamba hili limefanyika kwa makusudi, ubunifu wa watanzania au ujanja ujanja ujanja wa kurahisisha mambo, huu ni msalaba mwingine kwa serikali.


Kibaya nembo zote zinatumika katika machapisho mbalimbali ya serikali hata katika wavuti za ofisi kadhaa za viongozi wa serikali wanaokwenda na nguvu ya kiteknolojia nao kila mmoja katika wavuti ya ofisi yake ana nembo ya aina yake kuanzia ofisi ya Rais, waziri Mkuu hadi mawaziri wengine...Aaah Tanzania.


Zichunguze kwa makini hizo nembo hapo juu uone watanzania tulipofikia sasa.


Wabunge huko mjengoni hebu tutafutieni majibu kwa waziri husika, kama hawa jamaa wa jana nilivyokuwa nawasikia wakirushiana mpira na kila mmoja akionekana kushangaa na macho pima kama mjusi aliyebanwa na mwango,


ADIOS
Nauliza hiyo nembo ya tanzania au tanganyika ? Angalia na hizi,ni uchakachuwaji wa kusema tanzania ni serikali ya muungano kumbe ni ya tanganyika. 1613330.jpg View attachment 34995
 
View attachment 34966View attachment 34967View attachment 34968View attachment 34969


Nimevutiwa na dukuduku hili nililolifumania jana likitafutiwa ufumbuzi na mamlaka husika bila kupata jibu nikaamua kujaribu kutafuta ukweli wake mwenyewe kwa niliyoyasikia kwa kulinganisha ya ukweli wak ama ni hofu tu kwa mjadala niliousikia.

Kibo kya ndesi, Huwezi kuamini tunasherehekea miaka 50 ya uhuru na nembo za kutosha tu. Sasa ipi ni ipi, Viongozi wenye mamlaka hili wanalijua zaidi yetu...tuuite uzembe, uchakachuaji , ubadhilifu, uhujumu au kukosa umakini kulikopitiliza kwa wasimamizi wa mamlaka husika.

Bado nashindwa kujua mintarafu ya huu mkanganyiko, ni kwamba hili limefanyika kwa makusudi, ubunifu wa watanzania au ujanja ujanja ujanja wa kurahisisha mambo, huu ni msalaba mwingine kwa serikali.


Kibaya nembo zote zinatumika katika machapisho mbalimbali ya serikali hata katika wavuti za ofisi kadhaa za viongozi wa serikali wanaokwenda na nguvu ya kiteknolojia nao kila mmoja katika wavuti ya ofisi yake ana nembo ya aina yake kuanzia ofisi ya Rais, waziri Mkuu hadi mawaziri wengine...Aaah Tanzania.


Zichunguze kwa makini hizo nembo hapo juu uone watanzania tulipofikia sasa.


Wabunge huko mjengoni hebu tutafutieni majibu kwa waziri husika, kama hawa jamaa wa jana nilivyokuwa nawasikia wakirushiana mpira na kila mmoja akionekana kushangaa na macho pima kama mjusi aliyebanwa na mwango,


ADIOS

... Evidence of how low the Republic of Tanzania has gone .... in terms of Responsiblity and Managment!!

What you see here ? shows itself in every aspects of Community Developent in our society! ... SHAME!!
 
... Evidence of how low the Republic of Tanzania has gone .... in terms of Responsiblity and Managment!!

What you see here ? shows itself in every aspects of Community Developent in our society! ... SHAME!!

Logo namba mbili ambayo haina sifa za kuwa Nembo kama zinavyojionyesha, Adam na Hawa ukipenda kuwaita hivyo bado ni sawa tu au mwanamume na mwanamke wamesimama juu ya Pamba na Karafuu kigezo cha kwanza kabisa.

Hawa wamesimama juu ya maua.

Jana nilikuwa mahakamani nashughulikia masuala fulani ya msingi, jalada lilikuwa mbele yangu lina logo coloured nikajenga udadisi kuitazama, hiyo ambayo inaonekana kuwa imeghushiwa ndiyo ambayo ipo katika majalada ya Mahakama pia.

Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali anawajibika kwa hili asilimia 100

Niliporudi home kutazama katiba mpya ipo logo hiyo...Hapa kuna haja ya mamlaka husika kulitazama hili kwa kina otherwise sitashangaa siku moja kukuta hao Adam na Hawa ni wachina wapo hapo wala si watanganyika nywele ngumu na bado tutapeta bila shaka na kuitumia kwa nguvu zote kwa namna ambavyo huwa tunaogopa kuhoji mambo.
 
Hii ni evolution inatokea kwenye logo yetu bana...!! Sijui ni macho yangu au nini... Hiyo ya nne, wakati wa uhuru watu hawakuwa na caro light! Miaka 50 baada ya uhuru watu wanapaka caro light wametakataaa!!
 
Hii ni evolution inatokea kwenye logo yetu bana...!! Sijui ni macho yangu au nini... Hiyo ya nne, wakati wa uhuru watu hawakuwa na caro light! Miaka 50 baada ya uhuru watu wanapaka caro light wametakataaa!!

:coffee:
 
Back
Top Bottom