Wakuu kwa mtazamo wako,miaka 50 ya uhuru Tanzania imepiga hatua au kutimiza malengo yake?Mimi naona imetimiza malengo na ndio maana viongozi wanakula nchi kwa sasa,ina maana kazi imekamilika kwa hiyo hamna kazi iliyobaki.Je wewe una maono gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.