mwanakijijisizungumzii mabadiliko ya muundo tu, nazungumzia kuwatimua wanabodi wote, na ikiwezekana kuwatupa kwenye genge! Halafu kuwaweka watu ambao wanajua nini maana ya kutoa mikopo ya elimu!!
historiaa inaonyeshaa huwa wakiondolewa hawa wanawekwaa walee..pitia mifano ya Bodii mbali mbali ujuazoooo..
mfumoo bado hauruhusuu ufanisiii..