Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Shangazi Ti
hahahahahahahaha!
Shangazi Ti
Powered by JJ........!!Orait...orait...bonge lazima awe barabarani bwana sio studio!
nimetoka kunywa supu mitaa ya kati cmu yangu niliacha mezani na kwenda kunawa mikono mhudumu wkt anatoa vyombo akatoa na cmu yangu yaani kitendo kimefanyika ndani ya dk.2 nashangaa cmu haionekani. Kuuliza watu pale kila mtu anakataa wakaitwa wahudumu wote wakakataa mzee mmoja akasema taja namba yako kijana nikataja akapiga heee kati ya wahudumu 8 mmoja akaanza kucheza kiduku pale watu tukawa tunashangaa mzee akawa anasema mbona cmu inaita dah kumbe yule aliye kuwa akicheza kiduku ndiye aliye nikwapulia na kuificha kwenye nyeti zake sasa wkt cmu inaita ilikuwa inamtekenya i see mmmh ikabidi aitoe pale dah na kuiweka mezani imetoka na shombo lol imeniradhimu ninunue sprit na kuipiga soap soap
akina baba_enock, asprin, kimey, teamo, bigirita, kaizer na wengineo tuwe makini tunavyo acha cmu mezani heri ya kina dada wanatembea na mikoba mikuuuubwa
Hahahh....
Mjukuu wa amani
Ujukuu hauna risiti
Dena mama........MJ1 is very muoga lol...........am doing the needful sasa hivi.
Baba_E...........nawithdraw post yangu lol..............hahaha
PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens
bia za bure na michemsho,nunua acha ujinga
shangazi mjukuu- BEYOND YOUR understanding level ya ujukuu/ushangazi
Pole Fide,mi mwenyewe kuna mhudumu wa kiume aliniibia simu akaificha kwenye li-boxer lake.....wakaitwa wote,ikapigwa ile vibration simu ikadondoka na mtarimbo up......l.o.l :A S 20::A S 20::laugh::laugh::laugh:
Im watching very closely!!!
Im watching!!!!.......
Mama punguza wivu! unajua wivu ukizidi utasababisha watu wakague hahahaaaaaa shauri lako
Maty_Signature said:If you love something, set it free. If it comes back, it was, and always will be yours. If it never returns, it was never yours to begin with
Mama punguza wivu! unajua wivu ukizidi utasababisha watu wakague hahahaaaaaa shauri lako
Dah afadhali nimepumua maana hali ilikuwa mbaya!!! Haya sema dear