beatricmarwa
Member
- Nov 21, 2016
- 36
- 7
C. Atamuona kanumba etiii
boss umeulizwa swali zuri unapaniki? ukiweka bandika kausha maGT washushe nondoVery ' foolish ' Mkuu. Wewe unajua labda muda huo Marehemu Castro alikuwa na ratiba gani au amekumbwa na nini? Kwa umekaa mwenyewe ukatafakari na kujipanga kisha ukaona uje na a very ' blanket ' post kama hiyo yako humu kwa Ma Great Thinkers? Unajua maana ya dharura? Wewe hujawahi kuwa na ' Msiba ' labda wa ' Mshikaji ' wako kabisa lakini kutokana na kukumbwa au kubanwa na ratiba fulani ukashindwa kuhudhuria mazishi yake? Halafu nadhani ungeusoma vizuri ' uzi ' wangu wala usingetudhihirishia ' uwehu ' wako wa ' kifikra ' humu kwani kuna mahala nimesema kabisa kuwa namwomba tu Mheshimiwa Rais ' akatuwakilishe ' huko ' mazikoni ' Havana ila sijamlazimisha aende kwani sijajua ratiba zake. Nilichokifanya ni kumwaomba na kumshauri tu na siyo kumlazimisha hasa ukizingatia sina pia huo uwezo wa kumpangia na kumlazimisha yeye nini cha kufanya. Siku nyingine jikite mno katika kuelewa ' content ' ya ' uzi ' tafadhali.