Mheshimiwa Engineer Samawati Mbunge!

Hivi huu mtindo wa kumtambulisha ama kumuita mtu kwa kutumia fani yake mbele ya jina lake umeanza lini? Manake siku hizi mtu ukiwa mhandisi basi utaitwa 'mhandisi' flani wa flani...ukiwa mhasibu utaitwa 'mhasibu' flani wa flani.

Labda mimi kumbukumbu yangu ni ndogo lakini hapo zamani wahandisi, wahasibu, n.k. hawakuitwa kwa fani zao. Ila sasa naona huu utaratibu umeshika kasi sana. Sijui kwa nini tu?

Usanii na utapeli umezidi siku mkuu!
 
Kwenye suala la mtoa hoja, Woman of Substance - Member of Jamii Forums, watawala wetu wanaiga wenyewe wanachokiita "mfumo wa Jumuiya ya Madola". Kwa sababu wanapokopi na kupaste ndio wanajikuta wana matatizo kwa sababu kule kwenye House of Commons huwa wanafanya hivyo hivyo "Honorable Member of Parliament for Northfolk Norman Lamb," sasa na sisi tumechukua hivyo hivyo.

Kwenye suala la NN - hili tumeligusa hapa mara nyingi lakini limetokana na utofautishaji ambao wanaupata watu ambao ni Madaktari wawe wa tiba au utaalamu na hivyo na sisi tumeonelea kuwa ni vizuri kuwatofautisha - reasoning ikiwa - wote ni wasomi waliobobea. Kwamba kama Daktari sababu ya usomi wake anaitwa "Dr. so and so" kwanini basi Injia naye kwa sababu ya usomi wake asiitwe "so and so"?

Lakini nyuma ya hili liko kasumba ambayo unaiona kwa Wanigeria ambayo na sisi tumeiiga - wao hujikuta wanatambulisha siyo Udaktari tu bali vyeo vyote vya jadi.. so utakutana na

Dr. Chifu, (cheo kingine cha jadi) so and so..

Vinginevyo, tutajuaje wana ujiko?
 
Hii imeanza kutumika zaidi kwenye uchaguzi wa mwaka jana kwa upande wa CCM baada ya kuona kuwa anayegombea upande wa CDM ni Dr (PHD) wa ukweli nao wakaanza. Dr JK, wapi na wapi jamani! where are we going? kweli inatakiwa tuanze kuwazomea
 
Kwenye suala la mtoa hoja, Woman of Substance - Member of Jamii Forums, watawala wetu wanaiga wenyewe wanachokiita "mfumo wa Jumuiya ya Madola". Kwa sababu wanapokopi na kupaste ndio wanajikuta wana matatizo kwa sababu kule kwenye House of Commons huwa wanafanya hivyo hivyo "Honorable Member of Parliament for Northfolk Norman Lamb," sasa na sisi tumechukua hivyo hivyo.

Kwenye suala la NN - hili tumeligusa hapa mara nyingi lakini limetokana na utofautishaji ambao wanaupata watu ambao ni Madaktari wawe wa tiba au utaalamu na hivyo na sisi tumeonelea kuwa ni vizuri kuwatofautisha - reasoning ikiwa - wote ni wasomi waliobobea. Kwamba kama Daktari sababu ya usomi wake anaitwa "Dr. so and so" kwanini basi Injia naye kwa sababu ya usomi wake asiitwe "so and so"?

Lakini nyuma ya hili liko kasumba ambayo unaiona kwa Wanigeria ambayo na sisi tumeiiga - wao hujikuta wanatambulisha siyo Udaktari tu bali vyeo vyote vya jadi.. so utakutana na

Dr. Chifu, (cheo kingine cha jadi) so and so..

Vinginevyo, tutajuaje wana ujiko?

Hapo kwenye bold MMKJJ,
Hiyo ni sawa kabisa...lakini hapa ninazungumzia kutaja list ya majina bila jimbo n akumalizia "mbunge". Mantiki yake nini?
Mf. MMKJJ - Mbunge ( hataji wa jimbo gani). Kama hata angetaja wa jimbo gani inge make sense.
Ndio nikauliza, kwani huko bungeni kuna anayeweza kuchangia mjadala bila kuwa mbunge?
 
WOS
Nadhani ni tatizo la lugha watu kufanya written coomucantion iwe ni spoken na sometime Spoken commucatin kama ilivyo wanaiweka kweneye maadishi.

Inawezekana kuwa sahhii gazeti kuandika hayo yote lakini sio kwenye kuongea. Au kama alivyosema mchangiaji mmoja copy ana patse nzima nzima ya kingereza bila kungalia itakaa vipi katika kisahili
  • Viongozi wetu kama walivyo wabunge wanahitaji commuication skills. kitu kingine utaona wengi majibu yao ni ya kuandikiwa.
  • Viongozi wetu wanahitaji kujua wananchi hatuhiaji kujua matabaka , taaluma au vyeo au fani vya hao walio mjengoni.
nawasilisha

Mtazamaji IT technician ,Jf senoir expert member
 
WOS
Nadhani ni tatizo la lugha watu kufanya written coomucantion iwe ni spoken na sometime Spoken commucatin kama ilivyo wanaiweka kweneye maadishi.

Inawezekana kuwa sahhii gazeti kuandika hayo yote lakini sio kwenye kuongea. Au kama alivyosema mchangiaji mmoja copy ana patse nzima nzima ya kingereza bila kungalia itakaa vipi katika kisahili
  • Viongozi wetu kama walivyo wabunge wanahitaji commuication skills. kitu kingine utaona wengi majibu yao ni ya kuandikiwa.
  • Viongozi wetu wanahitaji kujua wananchi hatuhiaji kujua matabaka , taaluma au vyeo au fani vya hao walio mjengoni.
nawasilisha

Mtazamaji IT technician ,Jf senoir expert member

Nashukuru sana kwa mchango wako ndugu yangu ...( vyeo vyako navitambua hivyo itifaki imezingatiwa lol)
 
halafu hili la kuiga upuuzi wa wa nigeria...
mimi huwa najiuliza huko nigeria kuna machifu wangapi??????
naona kila mtu akivaa mavazi yao ni chifu anakuwa...
 
Nashukuru sana kwa mchango wako ndugu yangu ...( vyeo vyako navitambua hivyo itifaki imezingatiwa lol)

Au inawezekana ni katika haya
  • standard ya communication ya iliyoagizwa na ofisi za bunge . kama zilivyo barua za kuomba kazi. So hakuna mtayarshaji hotuba anatakiwa kupunnguza hiyo kasoro kuwadhalilisha waheshimiwa- Kama ni hivi ni kichekesho
  • Copy and paste ya waandika hotuba na hivyo hawafikirii wala kujua anapomuandikia waziri hotuba ya bajeti, wanaokuwepo mjengoni ni wabunge. So hakuna haja ya reduncancy ya neno "mbunge". So hii inatia shaka ya uwezo wa hao communicatiion officers wa wizara na mawaziri wenyewe. But hope wengi wana vyeti safi na TSJ inafanya kazi yake vizuri teh teh teh

utanisamehe pale juu nilisahau kitu kimoja hope sijasahu kingine

Mtazamaji ,IT technician , (Diploma) Jf senoir expert member
 
A person who has no point always goes off point na ndicho wanacho fanya hawa waheshimiwa. Hawana cha maana cha kusema ndiyo maana wana zunguukazunguuka.
 
mkuu..
mimi nimekutana kabisa na mtu
ambae bussiness card yake amejaza title tele
na title ya mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm....
tunapoelekea ni kuwa watu wataanza kuitwa
mheshimiwa mmiliki wa gazeti la ijumaa,john shigongo
mheshimiwa mmiliki a coud media joseph kusaga...

na wengine itakuwa mheshimiwa diwani na mmilikiwa bar ya batotoz john robert...
very upuuzi


Ha ha ha ha ha , da! nimecheka kupita kiasi......,
asante kwa kuniongezea afya na uhai.

Wanasiasa wengi wa TZ wanapenda sana sifa za kutambuliwa kwa usomi wao,
hata kama huo utambulisho wenyewe wamepewa tu kama zawadi pasipo kukaa darasani ,
Hata pasipokujali kama huo usomi wao wanautumia vipi kutatua matatizo mengi yanayoikabili nchi yetu.
 
Acha kuseme eti waafrika ndivyo tulivyo inamaana na wewe uko hivyo wengine hatuko hivyo huyo waziri hakuwa na mengi ya kusema akaamua kutumia muda mwingi tu pengine alitaka kukwepa maswali kutoka kwa wabunge hasa yale ya kuhusu bajaji za kubebea mama zetu wajawazito kama lilivyokuwa hot siku hiyo.
 
Hmm..okay!Kwenye nchi za wenzetu ambazo zimekomaa kisiasa na kidemokrasia, kwenye mabunge yao wabunge huwa hawajitambulishi kwa fani zao. Mfano bunge la Marekani (chemba zote mbili) limesheheni wasomi wa ukweli lakini hata siku moja sijawahi kumuona Newt Gingrich akijitambulisha kama Dr. (wa PhD) Newt Gingrich, Speaker, US House of Representatives au Dr. (surgeon) Bill Frist, Senate Majority Leader, au sijui Advocate Barack Obama, US Senator, Illinois....Sisi tunapenda sana ujiko wa kwenye makaratasi kuonyesha tumesoma. Hovyo kabisa....
Halafu utambulisho huo output ni zero, loo!
 
Tatizo elimu ndogo! Elimu ikiwa ndogo na kama msomaji hakuelimika vyema inakuwa matatizo maana wazungu wanasema kuitwa Engineer yanini wakati wewe mwana siasa na pengine hata huo U-engineer wenyewe ulishakutoka umebaki na graduate certificates peke yake! Ukiambiwa Engineering problem huiwezi!
 
TBC hapa kuna Waziri akutumia muda mrefu kweli kwenye majumuisho ya Wizara yake...
anataja waheshimiwa kibao waliochangia kwenye majadiliano, kwa majina...na kumalizia..Mheshimiwa ....."mbunge".Hii imefanya atumie muda mrefu sana wakati sisi wananchi tunachotaka ni kusikia hoja na siyo majina.

Najiulizayafuatayo:
1. Kuna ulazima gani kuwataja majina na ubunge wao?
2. Je mtu asiye mbunge angeweza kuchangia?
3. Nini mantiki ya orodha hiyo badala ya kujibu hoja?

Tuelimisheni wajuaji wa mambo.

******Niwie radhi bibie Samawati.... nakutakia kila la kher!

Haya magumashi ya mjini ya kutafuta ukubwa na kuulazimisha bwana..mara mheshimiwa fulani, mara muhandisi so and so mara kitu hiki na kile...duh!Utafikiri watu wasio kwenye siasa si waheshimiwa wala wahandisi au wenye fani nyingine. Wanasiasa wa Tanzania nao, hawaishi vioja
 
WOS, kwanini usitoe hoja binafsi huko bungeni kanuni hii ya kutaja majina ya wachangiaji ibadilishwe?
 
Back
Top Bottom