Alidai waliomzomea ni walevi wa wili watatu kati ya watu elfu sita waliokuwepo ktk mkutano wake. Alichoboa aliteka mjadala wote presenter ndo akawa mskilizaji.Hivi wassira naye bado ni mtu wa kutiliwa maanani?
Nadhani hata uwezo wake wa kufikiri na kutathmini siasa umekwisha kabisa, kwahiyo akilala ,akiamka anaiona Chadema ikichukua uongozi wa nchi, sasa analazimika kuongea lolote linalomjia kichwani bila kutafakari.
Juzi tu amezomewa sana na wananchi wa jimboni kwake bunda, sasa kwanini asirukwe na akili? hiki kimbunga cha M4C kinawatisha nyinyiem na hivyo wanajikuta wanajiropokea tu bila kujua wanaongea nini.