mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,147
- Thread starter
- #21
up date
-Operation wahalifu hawakukamatwa maana watendaji walikuwa wanasikiliza mamlaka ya uteuzi.
Tujenge mfumo mzuri wa sheria tena kwa lugha yetu ili watanzania waelewe sheria zetu. Zanziba wameweza lugha rasmi na ya kutunga sheria ni ya Kiswahili kama wao wameweza sisi tumeshindwa nini?
Tujikomboe kifikra.
up date
Tatizo la kesi kuchukua muda mrefu ni tatizo la kimahakama kwani kuna utaratibu wa kisheria wa kesi kutochukua muda mrefu mahakama wanapuuza puuza utaratibu huo.
Mfano Nimeshitakiwa 2002 mamuzi 2008 ni tatizo la kimahakama wanapuuza utaratibu
Tumewashauri kuna machache mengi wamepuuza.
-Operation wahalifu hawakukamatwa maana watendaji walikuwa wanasikiliza mamlaka ya uteuzi.
Tujenge mfumo mzuri wa sheria tena kwa lugha yetu ili watanzania waelewe sheria zetu. Zanziba wameweza lugha rasmi na ya kutunga sheria ni ya Kiswahili kama wao wameweza sisi tumeshindwa nini?
Tujikomboe kifikra.
up date
Tatizo la kesi kuchukua muda mrefu ni tatizo la kimahakama kwani kuna utaratibu wa kisheria wa kesi kutochukua muda mrefu mahakama wanapuuza puuza utaratibu huo.
Mfano Nimeshitakiwa 2002 mamuzi 2008 ni tatizo la kimahakama wanapuuza utaratibu
Tumewashauri kuna machache mengi wamepuuza.