hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Heshima kwenu wanajamvi.Baada ya mihangaiko jana nilijikaza nikaa kusikiliza mjadala wa mbunge kuhusu bajati ya Wizara ya kilimo na umwagiliaji.
Pamoja na uchovu nilifanya hivyo kwa vile kilimo ni uti wa mgongo wa watanzania na ndo ajira kwetu sisi wale 80%.Waheshimiwa wengi walituwakilisha kikamilifu japo bado wanaendelea na tabia ya kusifu na kushukuru wake zao,watoto na wajukuu.Kilicho nishangaza zaidi na wakati wa kutoa hoja zake MHE:JOHN SHIBUDA MAGALE -Mbunge wa Maswa mashariki -Chadema kutumia lugha ya kisukuma wakati akihitimisha hoja zake huku akitaja jina la Waziri mkuu.
Je, waziri mkuu na Waziri wakilimo Prof.Maghembe wanaelewa kisukuma?Kama hawaelewi watawezaji kuelewa matatizo ya Wananjchi wa Maswa kama Shibuda anatumia kisukuma mjengoni?Alidhamiria nini,kusisitiza hoja,kuchekesha kama kawmaida yake au hakupenda aeleweke kwa walengwa?Naomba maoni yenu wanaJF kuhusiana na hili.
Pamoja na uchovu nilifanya hivyo kwa vile kilimo ni uti wa mgongo wa watanzania na ndo ajira kwetu sisi wale 80%.Waheshimiwa wengi walituwakilisha kikamilifu japo bado wanaendelea na tabia ya kusifu na kushukuru wake zao,watoto na wajukuu.Kilicho nishangaza zaidi na wakati wa kutoa hoja zake MHE:JOHN SHIBUDA MAGALE -Mbunge wa Maswa mashariki -Chadema kutumia lugha ya kisukuma wakati akihitimisha hoja zake huku akitaja jina la Waziri mkuu.
Je, waziri mkuu na Waziri wakilimo Prof.Maghembe wanaelewa kisukuma?Kama hawaelewi watawezaji kuelewa matatizo ya Wananjchi wa Maswa kama Shibuda anatumia kisukuma mjengoni?Alidhamiria nini,kusisitiza hoja,kuchekesha kama kawmaida yake au hakupenda aeleweke kwa walengwa?Naomba maoni yenu wanaJF kuhusiana na hili.