usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Najua huko ulipo sasa hauna amani kwa kuwa hawaendani na kile ambacho umekuwa ukikisimamia siku zote: "Kukosoa kwa hoja na busara bila kutukana".
Yawezekana wengi wanakushauri uende CCM, lakini ukweli ni kuwa nchi hii bado inahitaji sana wapinzani hasa wa aina yako na Mh. James Mbatia.
Hamtukani, hamna jazba, mnasimamia hoja kwa maslahi ya Taifa.
Ni Ushauri tu
#UsinijibuHivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana wengi wanakushauri uende CCM, lakini ukweli ni kuwa nchi hii bado inahitaji sana wapinzani hasa wa aina yako na Mh. James Mbatia.
Hamtukani, hamna jazba, mnasimamia hoja kwa maslahi ya Taifa.
Ni Ushauri tu
#UsinijibuHivyo
Sent using Jamii Forums mobile app